Duu kweli yakoIkifuatiwa na vita ya 2014 kipindi ambacho urusi anajinyakulia crimea
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Israel Ni Masikini Zaidi Ya Tanzania. Hivyo Vita Aliekuwa Anapigana Ni Marekani
Masaa 38 na dakika 45
Hiyo ndio ilikuwa vita ya muda mchache kutokea duniani, na mpaka sasa bado inashikilia rekodi
Tuna la kujisifia pia hahaha
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hapana mkuu hii ilikuwa ya ZanzibarHahaaa hapo wayahudi weuc watakucfia sana
Hapana mkuu hii ilikuwa ya Zanzibar
Achana na hao mafalasha
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hawatofanikiwa mpaka mwisho wa dunia!Munawachukia sana waarabu na uislamu kwa ujumla, na badala yake munawapenda wanaomkana Yesu na kutoutambua ukristo... lakini tambueni kuwa Muslims population will continue to grow in Europe.hivyo endeleeni kuumia tu
Wewe mleta mada nlishakusoma unapenda sana choko choko, % kubwa ya mada zako ni zakishabiki na zimeegemea upande mmoja.udini unakusumbua sana mkuu
Soma hapa na hili ndio lengo lenu, na hamtofanikiwa.
Lengo kuu la Wakristo kwa Waislamu ni kuwabadili Waislamu kutoka kwenye imani yao iliyo sahihi na kuwatukumbukiza kwenye ukafiri. (Rejea Qur’an 2:20) "Wala hawatakuwa radhi Wayahudi na Manaswara mpaka mfuate mila zao.
Poa broOoh kumbe, nilikuwa sijakuelewa mkuu
Wewe jamaa ni zaidi ya mjinga na mpumbavuIsrael Ni Masikini Zaidi Ya Tanzania. Hivyo Vita Aliekuwa Anapigana Ni Marekani
Haaahaa haaaaaaaa umenifunguaWaarabu huwaga wanasikia sasa mfano wa Arab ni pharaoh jitu lilipigwa mapigo kumi lkn wap tena hayo mapigo ni kutoka kwa sir God
Sent using my iPhone using jamiiforum app