Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,016
- 1,499
Asalam alaykum? Mahakama ya jamii ya Iran imetoa kibali cha kutaka rais Donald Trump wa Marekani akamatwe pamoja na washukiwa wengine waliopanga na kutekeleza mauaji ya General wa Iran Qassim Suleiman.
Pia wameiomba Interpol kutoa usaidizi wa kukamatwa kwa washukiwa wote akiwemo rais Trump kama mtuhumiwa namba moja, na kwamba suala hilo litatekelezwa hata pale atakapokuwa nje ya madaraka aliyokuwa nayo mpaka haki ipatikane.
Chanzo: BBC
( Nb: Meja General wa vikosi vya majini alishawahi kumuonya rais Trump kwa kumwambia"Uchokozi wowote ule hata kama ni mdogo hautaachwa bali tutakuandama,utapoteza kila ulichonacho sasa naona mambo yameanza tena kwake yeye binafsi na wala si Marekani kwa ujumla.
Pia wameiomba Interpol kutoa usaidizi wa kukamatwa kwa washukiwa wote akiwemo rais Trump kama mtuhumiwa namba moja, na kwamba suala hilo litatekelezwa hata pale atakapokuwa nje ya madaraka aliyokuwa nayo mpaka haki ipatikane.
Chanzo: BBC
( Nb: Meja General wa vikosi vya majini alishawahi kumuonya rais Trump kwa kumwambia"Uchokozi wowote ule hata kama ni mdogo hautaachwa bali tutakuandama,utapoteza kila ulichonacho sasa naona mambo yameanza tena kwake yeye binafsi na wala si Marekani kwa ujumla.