Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Hivi kuna Vita kati ya Tarime na Rorya? Au ni utengenezaji wa news? Maana nimesikiliza recorded BBC Swahili News bulletin, na kama kawaida news kwa vyombo vingi vya habari huwa ni habari mbaya mbaya tu, waka'cover' Irak na mabomu yao, Somalia na kukatana miguu na mikono, Iran na vurugu zao, kesi ya kuuwawa kwa mwandishi wa habari wa kirusi, etc. na hatimaye wakamaliza na Vita kati ya Tarime na Rorya (ambapo wanadai mtu kauwawa na kuna majeruhi).