Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,420
Leo kuna twitts zinapepea hewani Musiba akidai kuwa Kangi Lugola na Paul Makonda wakishirikiana na Polisi wanauza unga haramu.
Huu ni mchezo wa hangaisha bwege, wanajaribu kututoa kwenye agenda kuu, kwamba Ebola iko nchini na tayari kuna watu wamesombwa.
Serikali iache kufichaficha mambo tena, pembe la ng'ombe halifichiki.
Watanzania sio wajinga tena
Huu ni mchezo wa hangaisha bwege, wanajaribu kututoa kwenye agenda kuu, kwamba Ebola iko nchini na tayari kuna watu wamesombwa.
Serikali iache kufichaficha mambo tena, pembe la ng'ombe halifichiki.
Watanzania sio wajinga tena