Taarifa imetoa maelezo ya kina juu ya utendaji mzuri wa Rais wetu tokea alipoingia madarakani.
Kapambana na ufisadi, rushwa, wafanyakazi hewa, wenye vyeti feki, uozo uliokuwa bandarini, matumizi mabaya ya ofisi za serikali, kabana matumizi ndani ya serikali mpaka siku ya sherehe za uhuru pesa yake akaagiza itumike kwenye maendeleo na hivyo bungeni pamoja na kukata pesa Kwa wabunge.
Rais amesifiwa ni kiongozi wa pekee katika bara la Afrika katika kupambana na ufisadi.