Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Nyuzi za kamanda barafu ni shule tosha kabisaNikiona mada ya Barafu hata kama hali ngumu nitasamehe andazi ninunue vocha.
Nyuzi za kamanda barafu ni shule tosha kabisaNikiona mada ya Barafu hata kama hali ngumu nitasamehe andazi ninunue vocha.
Wala ujakosea.Safi sana mkulu. Tunaelimika...
Vipi Kuna Ile stori kuwa Williamson aliwahi kupata almasi kubwa mwadui akataka kuitoa kama mahari kwa malkia wa uingeleza.
Mkuu hii kweli au story za kwenye vijiwe vya bao huku usukumani...
Inasadikiwa ni mwaka 47
SureMimi binafsi ningependa sana usalama wawe above politics. Kazi yao kuu iwe kulinda raslimali zetu. Ifike mahali kiongozi yoyote anayepiga dili kwenye madini ili kujinufaisha yeye binafsi aondolewe tena ikiwezekana asijulikane hata aliko. Hili suala la madini, gesi na mafuta linatutukana sana watu weusi. Tunapokuwa nje ya nchi na suti zetu tunajiona wastaarabu kumbe watu weupe wanatuona tunatembea uchi maana hatuna kitu kichwani.
Mtanzania yoyote aone aibu kupiga dili at the expense of our country. Hakuna mzungu anayekuona mjanja kwa kuliibia taifa lako.
Williamson angekuwepo hadi miaka ya 2000 basi kungekuwa kuzuri sanaNi choka mbaya,imebakia kama maghofu tu kwa baadhi ya mitaa na maeneo
Haya hawayataki kuyasikia wala kuyasoma..maana bwana mkubwa alikuwa fulakitwesheniTunaendelea kuwakumbusha wanaotaka kusahau
Karibu mzee tulikukumbuka sanaTunaendelea kuwakumbusha wanaotaka kusahau
Mkuu mbona kimya watu wamemisi madini yako lakini upo kimya hadi wakahisi labda wasiojulikana wamekutembeleaTunaendelea kuwakumbusha wanaotaka kusahau
Tunaendelea kuwakumbusha wanaotaka kusahau
Mkuu Kimya sana tumemis facts za ndege, Dreamliner imeingia nondo tumekosaTunaendelea kuwakumbusha wanaotaka kusahau
Umeadimika sana sana Mkuu duuuTunaendelea kuwakumbusha wanaotaka kusahau