Barafu unatisha !Lumumba hawawezi kukuelewa
Yani hadi unajiuliza ni kwanini umezaliwa ndani ya bongo hii?Huwa na washangaaga sana Watu wakiwasifia awa viongozi wawili......
Ni watu ambao huwa nikiwafikiria mpaka na sisimka....
Ila Watanzania bado tuna umbumbu sijui ndo ulofa kama tulivyoambiwaga na ye mwenyewe, utashanga mtu msomi kabisa lakin anakwambia bora enzi ya Mkap, ajui mkapa alikua anapata fedha kwa kuuza Rasilimali zetu, kwa kuuza mashirika yetu ya Umma tena kea bei za Kipuuzi, uyu mtu ndo alisababisha upigaji mkubwa mpaka awamu iliyofuata.... Tunamatatizo sana nchi hii! Mungu atuuhurumie tu atusaidie kwa Mapenzi yake
Mwafrika Mpe Mswaki kisha Mng'oe Jino...
Daaah Kaka umenena kwa uchungu sana hadi nimejikuta nikitaka kububujikwa na machozi.Renogoatiate? You wish it was easy that way. Hawa jamaa just know they can afford best lawyers and financial advisors anywhere in the world. Ndo maana vinchi vyetu vya kimasikini tuna vikwazo vingi sana kwenye Safari ya kujikwamua kiuchumi. Hata wale wasomi wachache tulionao Kama lawyers akina Mkono au mama Majaar...ndo hao wana gang up na hao the so called investors. Muwekezaji akipata mgodi wa 2 billion usd akampa mkono 10 million usd ashughulikie kila kitu serikalini....shida iko wapi? Ndo maana unakuta akina Mkono et al wanagombea ubunge. They want easy access to the decision makers. In reality. Nchi zetu tunaibiwa na wale tuliowaamini. Sasa kwa sababu ya umasikini wetu...everyone in the country has a price! Unavyosikia elites wanapiga kelele JPM ameua uchumi....unafikiri in uchumi upi unaliliwa? Vita hii in kubwa mno.
Bro...mtandao wa wapigaji in mkubwa mno! JPM amejilipua...Haya maji kina in kirefu. I wish him well.
"......Report ya pili ya Kamati ya Rais juu ya maboso(mchanga wa madini)inaenda kufungua ukurasa mpya wa "vita" ya moja kwa moja kati ya Rais wa Tanzania yeye binafsi dhidi ya wafanyabiashara wakubwa wa madini duniani.Tumuunge mkono Rais,kwa kumuelekeza vizuri na kwa staha pale anapokosea,na pia kwa kumpongeza kwa kiasi pale anapopatia mikakati katika mapambano haya.Tunaenda kuanza "vita" rasmi na "wamiliki" wa madini wa dunia,tusikate tamaa...Aluta Continua
barafu wa Jf toka Toronto-Canada
Bila shaka sasa safari rasmi tumeianza,leo Rais kashuhudia makubaliano ya 16% na 50% ya faida.Tungoje na tuone,yajayo yanafurahishaDaaah Kaka umenena kwa uchungu sana hadi nimejikuta nikitaka kububujikwa na machozi.
Mungu nakuomba tupatie uvumilivu sisi Wa-TZ tumpatie Raisi wetu umoja wa pekee sana ili tujikwamue na hii vita ya Mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu barafu, mi nadhani adui yetu nambari moja ni aina ya sheria tulizo/tunazojitungia kuhusu sekta hii ya madini na usimamizi mbovu wa jinsi ya kupata kodi ya serikali. Kwangu mimi haijalishi NANI anamiliki mgodi wa Mwadui. Au globally anamiliki migodi mingapi. Muhimu ni yeye kutulipa CHETU. Wala sidhani dawa ni serikali kutaifisha migodi hii. Dawa ni Serikali KUJUA kodi yake stahiki ni IPI. Pili serikali iweke sheria rafiki kwenye kuuziana madini. Tatizo la ubovu wa sheria zetu uko hivi Mkuu, kesho ukisafiri na wenzio kutoka Shinyanga kwenda Bariadi, mkiokota ALMASI, mtagundua kuwa ili muiuze kuna mlolongo mrefu wa sheria zitazowaandama kiasi kuwa mwishoni mtatafuta nani awape chenu muishie bila bughdha. Hii vita ya mabepari haipaswi hata kidogo kutuacha tukiwa maskini kama tunajua kodi yetu ni pi.