Vita dhidi ya Dawa za Kulevya na Usanii wa Muungwana

Mgoyangi

Senior Member
Feb 6, 2008
184
9
Juni 26 ni siku ya kupiga vita matumizi ya Dawa za kulevya. Nakumbuka Muungwana aliwahi kutangaza kuwa atakuwa ngangari katika kupiga vita dawa za kulevya na akasema majina ya vigogo wanaofanya biashara hiyo haramu anayo na tukasubiri kishindo, lakini hatukioni.

lakini pia kuna habari kuwa kuna vigogo wengi wankiwemo wanasiasa wanafanya biashara hii! Pia data kuhusu biashara hii hazifahamiki sana ukiacha hizi za Polisi kukamata vidagaa. Pia nimetafuta kujua vijana wangapi wa kitanzania wameingizwa katika biashara hii ya kusafirisha dawa hizi ni wangapi na huko nje ya nchi wangapi wanaozea kwenye jela wakati waliowatuma wanatanua kwenye viyoyozi, sijafanikiwa kupata. Akina nani/wangapi pia wanafanya biashara hii Bongo, pia sijapata. Mwenye nondo naomba anitupie.

Asante
 
Mimi nimeona majina toka mwaka jana kama sio juzi lakini hakuna lolote, ndio faida ya serikali ya popularity, wakisihikwa pabaya tu watasema majina wazi lakini as long as popularity iko juu hawana sababu,

ikishuka tu utasikia hela mkapa zilipo, watch!
 
Mimi nimeona majina toka mwaka jana kama sio juzi lakini hakuna lolote, ndio faida ya serikali ya popularity, wakisihikwa pabaya tu watasema majina wazi lakini as long as popularity iko juu hawana sababu,

ikishuka tu utasikia hela mkapa zilipo, watch!

Mkuu FMES. sasa unawaumbua wasanii hao, maana walijua watu bado hawajawashtukia na ni wanjanja saaaana ;)
 
yule MP wa kinondoni anaweza kukusaidia zaidi katika hili,jaribu uwasiliane nae.

Una maana gani?naye yumo?vilevile mjaribishe yule tajiri wa Arusha muhindi mwenye duka la simu,tv na cameras.Kampuni yenyewe nasikia inaitwa BENSON LTD atakupa info vilevile usimsahau mmiliki wa kampuni ya RIVERSIDE nadhani wanawajua vizuri.
 
Hii nimeitoa kwa Michuzi:

latest on tanzanian boxer's drug case in mauritius
The Mauritius police Anti-Drug and Smuggling Unit (ADSU) on Tuesday indicated that major developments have taken place since the arrest of the Tanzanian boxing delegation last Wednesday for allegedly carrying drugs.
The six member team which had come to Mauritius to take part in the 2nd African Cup of Nations (CAN) Boxing competition were arrested at the Mountview Hotel in Quatre Bornes, 15 km from the capital Port Louis with some 4 kg of suspected heroin valued at US$1.8 million.
A communiqué issued by the ADSU indicates that two members of the delegation, the boxer Patrick Polino and the coach Michel Irenge did not take part in the conspiracy to introduce drugs into the island.
The communiqué adds that following interrogations of the remaining suspects, it avers that the ringleader of the operation is one William Michael Onesmo, a Tanzanian drug trafficker well known to the Mauritian police.
Onesmo, the communiqué indicates, had previously been arrested by the local police for drug trafficking, and condemned to 40 years in prison in Mauritius but was subsequently deported to Tanzania to serve his prison term.
The telephone number of Onesmo was also found in the two mobile phones which the boxers had in their possession.
The communiqué pointed out that ADSU now knows the identity of the local contacts and that they are under strict surveillance.One member of ADSU who requested anonymity declared that investigators in Mauritius cannot understand how Onesmo, who is supposed to be in prison in Tanzania, could have organized the transfer of such an amount of drugs to Mauritius.
 
yule MP wa kinondoni anaweza sema nani anamtumia(kwani kutumiwa nawe unakuwa humo?)

Huku specify kama naye yumo ama ni vendor mifano niliyotoa kwangu hawa ni outspoken vendors ila wana fumbiwa macho.
 
Back
Top Bottom