Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Kwanini mkulu amekimbia mapambano dhidi ya corona?
Dah!... hii kali !!Aseme ni Corona ipi tunayopaswa kuomba itokomee.Maana alishasema Vyama vya Upinzani Tanzania ni Corona,sasa hapa atanabaishe,Corona ipi ambayo Rais kataka tuombe tuiondoshe?Awe specific ili tujue tunaomba kwa Corona ipi...Maana sio wote tunaotaka Corona mojawapo kati ya hizo mbili kwa mujibu wa maneno aliyowahi kusema iondoke
wakaiHii ndio tweet yake:
Tunaendelea na Maombi Maalum ya Siku 3, Tusimame pa1 na Tutashinda. Rai yangu baadhi ya Viongozi wa Serikali zingatieni kuuelimisha umma zaidi na kutiana moyo kwamba tutashinda. HUU SIO WAKATI WA KUTISHA WATU AU KUCHUKUA HATUA ZENYE KUFEDHEHESHA UTU, VITENDO HIVYO HAVIKUBALIKI!!!
Hawakuzabui wanakuchezea tu inye yakoUkitaka Chadema wakuzabue waambie polepole huyo anakuja
Kwamaana amewapoteza kabiss Chadema wamejikatia tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha alivyowaita kua CHADEMA ni Corona..kumbe alikua anajua kua huu ugonjwa wanaupata wapinzani tu asa CHADEMA...Ukitaka Chadema wakuzabue waambie polepole huyo anakuja
Kwamaana amewapoteza kabiss Chadema wamejikatia tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha alivyowaita kua CHADEMA ni Corona..kumbe alikua anajua kua huu ugonjwa wanaupata wapinzani tu asa CHADEMA...
Na Makonda akamalizia kwa kucheka na kumtangaza mtoto wa Mbowe kua tayari ana Corona...Kweli CCM tuna watu wenye akili sana.
Si ndo apo..eti walitaka lock down.Nawakubali Pole Pole na Makonda kuona kua Corona ni kwa CHADEMA tu. CCM tuna hazina kubwa na nyingi....twende kazi Pole Pole,Makonda...aka ni kakorona tu.TUSITISHANE
Si ndo apo..eti walitaka lock down.Nawakubali Pole Pole na Makonda kuona kua Corona ni kwa CHADEMA tu. CCM tuna hazina kubwa na nyingi....twende kazi Pole Pole,Makonda...aka ni kakorona tu.TUSITISHANE
Wewe ni snitch kumbe... Hivi ni Corona ipo hiyo maana akili kubwa Pole Pole alisema wapinzani (CHADEMA) ni Corona sasa mpaka sasa sijajua ni hao au ile ya China
Kwa hayo,Tumwombee Mungu amsamehe kwa maneno yake ya kufananisha chadema na corona. Nasi watanzania tumsamehe katika kipundi hiki cha kutubu kwa ajili ya Taifa na kuliombea Taifa dhidi ya corona. Ametamka manenono mabaya mno! mno! mno! yanasikitisha yanahuzunisha na yanalidhalilisha Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu njoni huku kinyonga amerudi leo ana rangi nyingine.Hii ndio tweet yake:
Tunaendelea na Maombi Maalum ya Siku 3, Tusimame pa1 na Tutashinda. Rai yangu baadhi ya Viongozi wa Serikali zingatieni kuuelimisha umma zaidi na kutiana moyo kwamba tutashinda. HUU SIO WAKATI WA KUTISHA WATU AU KUCHUKUA HATUA ZENYE KUFEDHEHESHA UTU, VITENDO HIVYO HAVIKUBALIKI!!!
wewe unatoa mchango gani zaidi ya kulamba miguuUsiishie kusikia tu, nenda ukashudie ili uvunjwe kiuno maana Wewe hutoi mchango wowote Tanzania zaidi ya kutukana mitandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
ivi ametembea na lile liuzio kweli.Usiishie kusikia tu, nenda ukashudie ili uvunjwe kiuno maana Wewe hutoi mchango wowote Tanzania zaidi ya kutukana mitandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app