#COVID19 Vita dhidi ya COVID-19 Angola imetuumbua, Balozi awajibike?

Yaan kwa namna Yoyote ile Angola hawajawatetendea Haki wachezaji wetu na ikibd serikali inabd iliingilie Kat hiki

Ule NI uvunjifu wa Haki za kibinadamu

NB Mimi sio kijn wa Rumumba
unapoenda nchi za watu lazima ufuate sheria za nchi husika. sio unaenda na sheria zako ukifikiri watakuangalia tu.
hamna uonevu hapa.. kila nchi inajitahid ijikinge na corona kadiri ya uwezo wao. likiwemo kila nchi kupima wageni wote wanaotoka nchi za nje.

sasa kama unaona uwez kukubaliana na suala husika bora usiende.
 
Ndugu zangu tunazidi kuumbuka kuhusu janga la Corona.

Hadi niandikapo uzi huu, msimamo wa Serikali ya Rais Magufuli (si ya wananchi wa Tanzania) ni kwamba hakuna Covid-19 isipokuwa "changamoto ya upumuaji" hivyo basi ni dhambi ya mauti kutamka kuwa kuna "korona" Tanzania hata kama tunapukutika kama nzige wa jangwani waliopuliziwa dawa.

Vijana wetu wa Namungo FC waliondoka hapa nchini (kusiko na korono) kwenda kucheza nchini Angola (Champions Legue). Wamepimwa na kukutwa na ugonjwa huo ambapo ni wachezaji watatu na kiongozi mmoja wamekutwa na Corona. Mchezo wao umefutwa maana timu pinzani hawako tayari kurisk maisha yao. Wamehifadhiwa "jela".

Angola imeitangazia dunia kuwa Tanzania kuna Covid-19 mbele ya Balozi wetu nchini humo. Sasa wanne hao wanarejea nyumbani. Je, ndio wagonjwa wa kwanza hivyo tuwatenge na kuchunguza waliokutana nao kama yule mama wa Arusha mwaka Jana? Au watakapokanyaga ardhi tu ya Tanzania ugonjwa utakauka?

Kwa nini Balozi hakuziambia mamlaka za Angola kuwa majibu yao si sahihi maana hatuna Corona? Je, wanne hao hawatuletei Corona? Nawaza tu nikielekea kumzika Brigadier Mbena!
Usishangae ukasikia kapangiwa kazi nyingine
 
Nilikuwa South Africa, nchi inayoongoza kwa wagonjwa na vifo, lakini sikuwa nasikia vifo mara kwa mara kama hapa.

Kwa kuangalia taarifa za matukio ya vifo, kuna uwezekano mkubwa kwa sasa Tanzania kuwa imeathirika zaidi ya Afrika Kusini.
Inawezekana lakin hii isitufanye tuwe treated like animals tukienda nchi za wenzetu
 
Afrika kusini ipi ambayo hujasikia ulikua hospital au ulienda huko vijijini Port Elizabeth ambako wameathirika na huo ugonjwa ukiwa mjini mgonjwa akianza dalili anapelekwa kwao au hospital hapo End street kwenye Taxi za vijijini sasa hivi nao wana vipimo hawapakii mgonjwa yeyote hata wa kichwa usiongee hiyo kitu nashangaa Home wanaichukulia kawaida...
Nilikuwa Cape Town.
 
Wewe acha uongo,uliza waliopata corona wakusimulie, corona ikupate usisikie dalili yoyote 😂😆😆😆 ingelikuwa hivyo dunia isingeliangaika hivyo
Sisi tunaokaa maeneo wanaopima Corona tunayaaona haya kila siku. Tatizo Bongo watu wanaopimwa ni wale wenye dalili tu ndiyo maana hali inaonekana hivyo. Inawezekana hata wewe ulishawahikuwa infected but you never became sick hivyo huwezi jua!!.
 
Huu ugonjwa upo na ni janga la dunia nzima, mlitusimanga sana sisi wakenya tulipowasihi tushirikiane kama Afrika Mashariki kulizuia, mkaleta figisu na fitna za kishamba za uswahilini, hata Uhuru keshawachoka siku nyingi tu , mpo mpo tu watu wa ajabu sana nyie, na mtaendelea kuumbika hadi mwisho.
Serikali yenu haiwathamini nyie wala wanasayansi na wataalam wenu , yaani kila jambo siasa imetamalaki hususan kwenye mambo ya msingi kama afya na uchumi,athari za kulichagua chama kimoja tangu jadi pamoja na yule mungu mtu wenu.
Ujuha mtupu.
Mukh kharban,vichwa vya wendawazimu.
🤣🤣🤣
 
Mbona ata wachezaji wa nchi zilizoendelea wenye kila ujuzi wa kujikinga na Covid walishakutwa na Corona siku za nyuma,au aufatilii michezo?
Iweje kwa Tanzania uone tatizo ilhali ni janga la Dunia nzima?

Kea hiyo unataka kuhalalisha wengine waambukizwe micorona yenu kisa kuna wachezaji walishakutwa nayo!? Akili za kijinga hizi
 
Huu ugonjwa upo na ni janga la dunia nzima, mlitusimanga sana sisi wakenya tulipowasihi tushirikiane kama Afrika Mashariki kulizuia, mkaleta figisu na fitna za kishamba za uswahilini, hata Uhuru akawachoka, siku zote mpo mpo tu watu wa ajabu sana nyie, na mtaendelea kuumbika hadi mwisho.
Serikali yenu haiwathamini nyie wala wanasayansi na wataalam wenu , yaani kila jambo siasa imetamalaki hususan kwenye mambo ya msingi kama afya na uchumi,athari za kulichagua chama kimoja tangu jadi pamoja na yule mungu mtu wenu.
Ujuha mtupu.
Mukh kharban,vichwa vya wendawazimu.
🤣🤣🤣
Nyie nae hayo mapambano yenu dhidi ya corona ni utani mtupu.
 
Mficha uchi kaumbuliwa na mimba.Thus klm upandi ndege yao lzm wakupime upya awaamini vipimo vyetu ambazo ni mradi wa kusanyia pesa.
 
Yaan kwa namna Yoyote ile Angola hawajawatetendea Haki wachezaji wetu na ikibd serikali inabd iliingilie Kat hiki

Ule NI uvunjifu wa Haki za kibinadamu

NB Mimi sio kijn wa Rumumba
Ugonjwa na haki wapi na wapi.Kwani kwetu wenye ugonjwa wanaruhusiwa kuingia?
 
Nachozungumza ndio hicho hao wote unawaowana gugulethu,Nyanga wana makwao huko transkai ukiwa mjini kwa maisha haya tunavyoishi jirani yako humjui utajuaje kuwa ugonjwa umewadhuru sana..
Sisemi hakuna ugonjwa bali huoni hekaheka ya kusema wana hali mbaya kuzidi hapa kwetu. Tofauti kubwa ni kuwa wao wanatoa takwimu, hivyo tatizo linajulikana kitakwimu. Sisi hatupimi, hatutangazi, tatizo lipo lakini ni ngumu kujua kiwango halisi. Utapambana vipi kiuhalisi kama hujui uhalisia wa tatizo.

Watawala wanataka tushugulike na hili tatizo kimbumbumbu!!
 
Sisemi hakuna ugonjwa bali huoni hekaheka ya kusema wana hali mbaya kuzidi hapa kwetu. Tofauti kubwa ni kuwa wao wanatoa takwimu, hivyo tatizo linajulikana kitakwimu. Sisi hatupimi, hatutangazi, tatizo lipo lakini ni ngumu kujua kiwango halisi. Utapambana vipi kiuhalisi kama hujui uhalisia wa tatizo.

Watawala wanataka tushugulike na hili tatizo kimbumbumbu!!
na wameshajua sisi ni wajinga so hawajali tena. wanajua wabongo ukiwaambia ukweli hawakuelewi.. wadanganye wakusifie. ndicho kinachoendelea
 
Sisemi hakuna ugonjwa bali huoni hekaheka ya kusema wana hali mbaya kuzidi hapa kwetu. Tofauti kubwa ni kuwa wao wanatoa takwimu, hivyo tatizo linajulikana kitakwimu. Sisi hatupimi, hatutangazi, tatizo lipo lakini ni ngumu kujua kiwango halisi. Utapambana vipi kiuhalisi kama hujui uhalisia wa tatizo.

Watawala wanataka tushugulike na hili tatizo kimbumbumbu!!
Vijiji vya ujamaa vimedumaza akili hata watu wakisoma wanakosa maarifa madogo tuu kuna muda unaweza kudharau hata vyuo vyetu maana nao wanaendeshwa Kama darasa la pili...
 
Ewe chizi Acha kujitoa ufahamu mshennx mkubwa.....!!
Watu wanapuktika na UVIKO hapa Tanzania wewe unaleta longo-longo hapa?????




P

??
Wewe ndiye koozito sio kwa kutumia utambulisho mwngine gushi? The next target hit is to you keep on insulting the challengers!!

Is there any scientist who has ever disproved existence of God the Universe Creator?

Read the following and disgest before uttering such blasphemy

Why Science Does Not Disprove God​

Digitally generated image showing volcanic eruptions during formation of Earth

Digitally generated image showing volcanic eruptions during formation of Earth

Dorling Kindersley—Getty Images/Vetta
BY AMIR D. ACZEL

APRIL 27, 2014 5:45 AM EDT
Anumber of recent books and articles would have you believe that—somehow—science has now disproved the existence of God. We know so much about how the universe works, their authors claim, that God is simply unnecessary: we can explain all the workings of the universe without the need for a Creator.
And indeed, science has brought us an immense amount of understanding. The sum total of human knowledge doubles roughly every couple of years or less. In physics and cosmology, we can now claim to know what happened to our universe as early as a tiny fraction of a second after the Big Bang, something that may seem astounding. In chemistry, we understand the most complicated reactions among atoms and molecules, and in biology we know how the living cell works and have mapped out our entire genome. But does this vast knowledge base disprove the existence of some kind of pre-existent outside force that may have launched our universe on its way?

Science won major victories against entrenched religious dogma throughout the 19th century. In the 1800s, discoveries of Neanderthal remains in Belgium, Gibraltar and Germany showed that humans were not the only hominids to occupy earth, and fossils and remains of now extinct animals and plants further demonstrated that flora and fauna evolve, live for millennia and then sometimes die off, ceding their place on the planet to better-adapted species. These discoveries lent strong support to the then emerging theory of evolution, published by Charles Darwin in 1859. And in 1851, Leon Foucault, a self-trained French physicist, proved definitively that earth rotates—rather than staying in place as the sun revolved around it—using a special pendulum whose circular motion revealed the planet’s rotation. Geological discoveries made over the same century devastated the “young earth” hypothesis. We now know that earth is billions, not thousands, of years old, as some theologians had calculated based on counting generations back to the biblical Adam. All of these discoveries defeated literal interpretations of Scripture.
But has modern science, from the beginning of the 20th century, proved that there is no God, as some commentators now claim? Science is an amazing, wonderful undertaking: it teaches us about life, the world and the universe. But it has not revealed to us why the universe came into existence nor what preceded its birth in the Big Bang. Biological evolution has not brought us the slightest understanding of how the first living organisms emerged from inanimate matter on this planet and how the advanced eukaryotic cells—the highly structured building blocks of advanced life forms—ever emerged from simpler organisms. Neither does it explain one of the greatest mysteries of science: how did consciousness arise in living things? Where do symbolic thinking and self-awareness come from? What is it that allows humans to understand the mysteries of biology, physics, mathematics, engineering and medicine? And what enables us to create great works of art, music, architecture and literature? Science is nowhere near to explaining these deep mysteries.
But much more important than these conundrums is the persistent question of the fine-tuning of the parameters of the universe: Why is our universe so precisely tailor-made for the emergence of life? This question has never been answered satisfactorily, and I believe that it will never find a scientific solution. For the deeper we delve into the mysteries of physics and cosmology, the more the universe appears to be intricate and incredibly complex. To explain the quantum-mechanical behavior of even one tiny particle requires pages and pages of extremely advanced mathematics. Why are even the tiniest particles of matter so unbelievably complicated? It appears that there is a vast, hidden “wisdom,” or structure, or knotty blueprint for even the most simple-looking element of nature. And the situation becomes much more daunting as we expand our view to the entire cosmos.

We know that 13.7 billion years ago, a gargantuan burst of energy, whose nature and source are completely unknown to us and not in the least understood by science, initiated the creation of our universe. Then suddenly, as if by magic, the “God particle”—the Higgs boson discovered two years ago inside CERN’s powerful particle accelerator, the Large Hadron Collider—came into being and miraculously gave the universe its mass. Why did this happen? The mass constituted elementary particles—the quarks and the electron—whose weights and electrical charges had to fall within immeasurably tight bounds for what would happen next. For from within the primeval soup of elementary particles that constituted the young universe, again as if by a magic hand, all the quarks suddenly bunched in threes to form protons and neutrons, their electrical charges set precisely to the exact level needed to attract and capture the electrons, which then began to circle nuclei made of the protons and neutrons. All of the masses, charges and forces of interaction in the universe had to be in just the precisely needed amounts so that early light atoms could form. Larger ones would then be cooked in nuclear fires inside stars, giving us carbon, iron, nitrogen, oxygen and all the other elements that are so essential for life to emerge. And eventually, the highly complicated double-helix molecule, the life-propagating DNA, would be formed.
Why did everything we need in order to exist come into being? How was all of this possible without some latent outside power to orchestrate the precise dance of elementary particles required for the creation of all the essentials of life? The great British mathematician Roger Penrose has calculated—based on only one of the hundreds of parameters of the physical universe—that the probability of the emergence of a life-giving cosmos was 1 divided by 10, raised to the power 10, and again raised to the power of 123. This is a number as close to zero as anyone has ever imagined. (The probability is much, much smaller than that of winning the Mega Millions jackpot for more days than the universe has been in existence.)

The scientific atheists have scrambled to explain this troubling mystery by suggesting the existence of a multiverse—an infinite set of universes, each with its own parameters. In some universes, the conditions are wrong for life; however, by the sheer size of this putative multiverse, there must be a universe where everything is right. But if it takes an immense power of nature to create one universe, then how much more powerful would that force have to be in order to create infinitely many universes? So the purely hypothetical multiverse does not solve the problem of God. The incredible fine-tuning of the universe presents the most powerful argument for the existence of an immanent creative entity we may well call God. Lacking convincing scientific evidence to the contrary, such a power may be necessary to force all the parameters we need for our existence—cosmological, physical, chemical, biological and cognitive—to be what they are.
Science and religion are two sides of the same deep human impulse to understand the world, to know our place in it, and to marvel at the wonder of life and the infinite cosmos we are surrounded by. Let’s keep them that way, and not let one attempt to usurp the role of the other.
 
Back
Top Bottom