Vita baridi ya chanjo za Covid 19 imeanza

Hapa ni kuwacha wao watumie chanjo ili kirusi kisisambae so uwezo wa kumuambukiza mtu mwingine unakuwa haipo,
Kiufupi hapo unakuwa umepona bila dawa.
 
Hivi kwa nini chanjo zipatikane kwa nyakati zinazoshabihiana mbona haijaanza kugunduliwa na nchi moja kisha zikafata nyinginezo au kuna rafu tunachezewa mashabiki....?

Urusi ndilo lilikuwa Taifa la kwanza kutangaza kwamba imefanikiwa kutengeneza chanjo yenye mafanikio ya kidhibiti maambukuzi ya virus kwa silimia 95% - baada ya kutangaza mafanikio hayo basi vita baridi ikaanza kwa kuituhumu Urusi kwamba mafanikio yake yametokana na ku-cut corners, eti "chanjo haija pitia kwenye mchakato wa kutosha" kuna kiongozi fulani huko Merikani alikwenda mbali zaidi kwa kudai eti "chanjo ya Urusi hawezi kumudunga hata mbwa wake" - we fikiria jamaa hawa walivyo wa ajabu linapo kuja suala la ushindani wa kibiashara - wanawekeana kauzibe na wakati mwingine kufanyiana hujuma za wazi wazi, chukulia mfano wa Nchi za magharibi wanavyo wabeza Warusi - cha ajabu USA, Uingereza na Ujerumani kuingiza sokoni chanjo ambazo hazija fanyiwa tafiti za kutosha hiyo kwao ni balabala - hawataki Urusi na Uchina waingize sokoni chanjo mbadala ambazo haziitaji kuifadhiwa kwenye nyuzi joto chini ya sufuri!!

Binafsi ningependekeza mataifa ya Afrika kutumia chanjo za kutoka China na Urusi ambazo tuna uhakika hazitakuwa zimeongezewa vitu vingine hatarisha kwa afya na uzazi wa binadamu, hasa chanjo zinazo lengwa kutumika kwa Mataifa ya Afrika na Asia - Wachina na Warusi hawana agenda za siri kuhusu third World Nations.
 
Upo sahihi maana siku hizi watu wamekataa propaganda za kuzisababishia Nchi maskini vita ili USA iuze silaha. DUNIA INA SIRI KUBWA SANA.
Pia wamepunguza propaganda za kuzisababishia nchi maskini vita,sababu wameona wanapata mafuriko ya wakimbizi/wahamihaji haramu wengi toka nchi hizo maskini na zina vita,kukimbilia ulaya!!
 
Mi nachagua ya RUSSIA tu hizo nyingine zimepandikizwa ukimwi na wahanga wakubwa ni AFRICA...Aki ya mungu hii chanjo haitatuacha salama

Yangu macho...
 
Hivi kwa nini chanjo zipatikane kwa nyakati zinazoshabihiana mbona haijaanza kugunduliwa na nchi moja kisha zikafata nyinginezo au kuna rafu tunachezewa mashabiki....?
Urusi wana muda wagundue chanjo ila watazama CNN, BBC, FOX, MSNBC, et al hawakujua mapema. Hawafatilii hata Aljazeera wala RT
 
Urusi ndilo lilikuwa Taifa la kwanza kutangaza kwamba imefanikiwa kutengeneza chanjo yenye mafanikio ya kidhibiti maambukuzi ya virus kwa silimia 95% - baada ya kutangaza mafanikio hayo basi vita baridi ikaanza kwa kuituhumu Urusi kwamba mafanikio yake yametokana na ku-cut corners, eti "chanjo haija pitia kwenye mchakato wa kutosha" kuna kiongozi fulani huko Merikani alikwenda mbali zaidi kwa kudai eti "chanjo ya Urusi hawezi kumudunga hata mbwa wake" - we fikiria jamaa hawa walivyo wa ajabu linapo kuja suala la ushindani wa kibiashara - wanawekeana kauzibe na wakati mwingine kufanyiana hujuma za wazi wazi, chukulia mfano wa Nchi za magharibi wanavyo wabeza Warusi - cha ajabu USA, Uingereza na Ujerumani kuingiza sokoni chanjo ambazo hazija fanyiwa tafiti za kutosha hiyo kwao ni balabala - hawataki Urusi na Uchina waingize sokoni chanjo mbadala ambazo haziitaji kuifadhiwa kwenye nyuzi joto chini ya sufuri!!

Binafsi ningependekeza mataifa ya Afrika kutumia chanjo za kutoka China na Urusi ambazo tuna uhakika hazitakuwa zimeongezewa vitu vingine hatarisha kwa afya na uzazi wa binadamu, hasa chanjo zinazo lengwa kutumika kwa Mataifa ya Afrika na Asia - Wachina na Warusi hawana agenda za siri kuhusu third World Nations.
Nimekupata vyema chief niungane na wewe kwenye kumuogopa Muamerika kwa mbinu nyingi chafu kwa rungu la technology analolitumia kwa sasa baada ya kuona kwenye propaganda anafeli kwa nchi nyinyi hususan za Asia na Ulaya na palipobaki kumbaini ni Africa pekee binafsi naamini mchina mnyonyaji ila si kwa mbinu ya kumwaga damu wengi km afanyavyo Marekani
 
Tanzania tutakuwa tunapiga nyungu kila tunapoumwa, hivo vitone vya maji wapeane tu wenyewe :D
 
Inshort naona Bill Gates anapaswa afe haraka iwezekanavyo coz usalama wa maisha ya wengi (hasa nchi za third world) unahatarishwa zaidi na pesa zake(yaan anaicontrol dunia anavyotaka kama mungu mtu)

Nadhani dunia itakuwa salama zaidi baada ya huyu tajiri kufukiwa nchi 6 ardhini, hatuwezi kupoteza raia Billion 2 kwasababu ya mtu mmoja
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom