Visura Wa Kina Irene Kiwia

MamaParoko

JF-Expert Member
Jan 14, 2008
463
60
Je Wanafaa kuwa professional models? Edna.jpg

f2.jpg

Irene.jpg

Neshino.jpg

Yvonne.jpg
 
...Mwanzo mgumu viwango vyao bado lakini kwa kuwa ni mwanzo si haba pole pole ndio mwendo....Kazeni buti
 
Huyo dada aliyevaa suruali ana watoto na mume, walimtoa huko milimani Arusha. Walienda kijijini wakauliza kama kuna mtu mwenye sifa za urefu na kiuno na hips (kwa specs zao), basi huyo dada ikabidi morani wa kimasai aombwe ruhusa ili wampime. Vipimo vikakubali akapewa nauli ya kwenda Dar. Jina lake ni Neshno.
 
njia waliyotumia kuwatafuta visura hawa haikuwa muafaka naamini ndio maana hawakuweza kuwapata walengwa muafaka. haiwezekani mji kama arusha utafute warembo ukiwakwenye gari na kupitia baathi ya saloon za kina mama ukiwana malengo uko utawapata visura. walitakiwa watafute mawakala mikoani na kwahilo wangefanikiwa.
najisikia aibu wakibeba bendera ya taifa kwenda kupambanishwa na visura wengine afrika kusini.
 
aise nyie waandaaji kama mnafanya biashara naomba mjue ""Biashara haijaribiwi, kama mmeamua kufanya hii business basi fanyeni serious"" sio mnakuja na vijimama halafu mnaviita ""Visura""..au inawezekana hao mabinti wamekamilika ila nyie hamna utaalam wa kuwaweka sawa kwa ku-design pamba zinazoendana na wao na fasheni iliyopo...Nguo zenyewe sijui za mitumba ya wapi!!!!! sijui "India"
 
Mi Naona Hawajapigwa Msasa Kisawa Sawa Halafu Pia Utaratibu Uliotumika Kuwapata Haukuwa Muafaka Labda Bajeti Haikutosha.............
 
Back
Top Bottom