Unataka kuitumia kwa ajili ya nini hasa?unabackground ya coding? kama ni data analysis & machine learning basi soma zaidi python au RHabarini!
Napenda kujifunza Visual Basic Programming hasa kwenye Excel VB. Naombeni kama kuna mtu anaijua vizuri anisaidie hata kwa kuchangia kidogo. Akanifundisha through zoom au WhatsApp.
Nipo serious
Anza kwa kujifunza macros,hizi ni scripts kwa ajili ya kufanya automations,unaweza ukaanza kutengeneza simple macros then utaenda dip zaidi.Hivi ni kweli hakuna wataalamu wa hii lugha kabisa? Au ndio mmenikaushia tu mpaka mwaka unaisha huu???