Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Waafrika utalii sio utamaduni wa wengiWana Simba na waTz kiujumla ni kama tumepitishwa kwenye mlolongo wa matukio kadhaa kutoka klabu yetu andamizi kwa muda mfupi....
Waafrika utalii sio utamaduni wa wengiWana Simba na waTz kiujumla ni kama tumepitishwa kwenye mlolongo wa matukio kadhaa kutoka klabu yetu andamizi kwa muda mfupi....
Copy from Visit Rwanda.... ndiyo ubunifu!? Asalalee Mbumbumbu ktk uboraWana Simba na waTz kiujumla ni kama tumepitishwa kwenye mlolongo wa matukio kadhaa kutoka klabu yetu andamizi kwa muda mfupi..
Copy from Visit Rwanda.... ndiyo ubunifu!? Asalalee Mbumbumbu ktk ubora
Bora visit kidimbwi ndio ina sound gudCopy from Visit Rwanda.... ndiyo ubunifu!? Asalalee Mbumbumbu ktk ubora
Watoto wa mtaani mna shida sana uwo wivu uko wapi apoImepenya hiyo dadeki na umeipata vilivyo...Acha wivu
Duh... umemwona Getrude Lwakatare tu, acha Tanzania hii tuna hazina ya wa mama vichwa. Lwakatare nakubali sasa we m google Mongella ili umwelewe ni nani?Gertrude Mongela amefanya nini?Huyu mbona kama yuko overrated?
Bora ungesema marehemu Mama Gertrude Lwakatare
Acha Ujinga...Tujadili mambo yenye mantiki kuhusiana na soka...Visit Tanzania, wewe unaleta mambo ya umbea eti fulani ana uhusiano na fulani, mchepuko mara sijui ujinga gani? Mambo ya umbea ni mambo ya wivu kwahivyo peleka kwenye majukwaa yake huko.Watoto wa mtaani mna shida sana uwo wivu uko wapi apo
Africa nani anaweza kuja kutalii? Labda tuwekewe data za Wazungu wanao fuatilia ligi ya MambingwaWana Simba na waTz kiujumla ni kama tumepitishwa kwenye mlolongo wa matukio kadhaa kutoka klabu yetu andamizi kwa muda mfupi...
Tanzania haitambui uraia pacha, ni either ni mtanzania au mkolombia.kawoli kovai tamil taiga | Tanzanian - Colombian. Mtanzania Mkolombia.
Nashangaa watu wanaita huu ni ubunifu, hii ni copy and paste.Copy from Visit Rwanda.... ndiyo ubunifu!? Asalalee Mbumbumbu ktk ubora
Unaumia ukiwa mkoa gani ?Wakifanya kina Zamunda wa African Lyon, hawasifiwi.
Akifanya mdosi, ana akili kubwa....
Mikia timu ya watu hovyo sana.
Ni mtanzania mwenye asiki ya kihindiHivi huyu mama ni mtanzania?
Zoote watacheza ila hiyo ya Yanga lazima waiogope na kuikimbia kama ugonjwa usotulizika hata maumivu. Watabweka kuomba iahirishwe hadi bungeni, wakati ulaya ni kawaida tu mtu anagonga derby ya nguvu jumamosi na jumanne anaenda kucheza Na mwamba mwingine kwenye UEFA CLMkuu subiri mkitoka na as Vita, mnakutana na Yanga then Al Ahly.. ombeni mshindi hizo game
Hatuna huo utaratibu Wa uraia Wa nchi zaidi ya mojakawoli kovai tamil taiga | Tanzanian - Colombian. Mtanzania Mkolombia.
huyo njaa zinamsumbua.Kuna mwamba wa kuitwa njaakalihatari, alikuwa anatafuta kazi ya kuilinda hii pisi, sijui alifanikiwa!