Mkombalwiku Orijino
Senior Member
- May 24, 2020
- 101
- 30
Hii Kampuni inajihusisha na mikopo ya biashara, inafanya pia kazi online Tanzania kupitia huduma yao inaitwa Net Service. Yaani wanakupa mkopo sehemu yoyote Tanzania kupitia simu ya mkononi.
Naomba kujua kama kuna yeyote anawafahamu hawa watu Kwa undani na zilipo ofisi zao asante. Nitafurahi nikipata ushuhuda wa baadhi ya watu ambao waliwahi kupata huduma zao asante. Mimi nimewafahamu kupitia facebook kwenye ukurasa wao wa VISION LOAN FUND TANZANIA.
Naomba kujua kama kuna yeyote anawafahamu hawa watu Kwa undani na zilipo ofisi zao asante. Nitafurahi nikipata ushuhuda wa baadhi ya watu ambao waliwahi kupata huduma zao asante. Mimi nimewafahamu kupitia facebook kwenye ukurasa wao wa VISION LOAN FUND TANZANIA.