Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,374
- 5,587
🤣🤣🤣Waambiwe waajemi wasituchezee.
Au Wanadhani Kigamboni ni moja ya kambi za Us army
🤣🤣🤣Waambiwe waajemi wasituchezee.
Au Wanadhani Kigamboni ni moja ya kambi za Us army
Kwanini asikubali.
😂😂🤣
wanasaka waramba sori wooote wa USA 😂🤣😂
Tutawanyoosha
ila mkuu unamatamko ya kibabe 😂🤣😂 plzzz usiniumbue na mimi sijaweka kishazi kisaidizi 😂😂😂Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Sio mabomu ya irani hayo mkuu???? Sasa hapo fire mpaka ipande pantoni duuh moto wenyewe wa mafutaa msalaaa sananaZimamoto Kigamboni hata gari ya kuzimia moto hakuna, uchumi wa viwanda lazima tuufikie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpiga picha sogea japo hapo Munuo tuone vizuri,hapo ni mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Si wangeita tu wananchi wachote kuliko hii hasara.
Uko sahihi nami nimeona moshi huku Igunga ni wazi ilikuwa ni shehena nyingi sana.
Yaani Irani imeshindwa kupiga Marekani moja kwa moja ndo imeamua kulipiza kupitia Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Au nakosea Bro?
Kumbe ni maeneo yote nchini?Hadi huku kiboriloni aisee,nilidhani ni majiko ya kuchomea nguruwe kumbe ni mambo yenu huko dar bana
Sent using Jamii Forums mobile app