mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Visiconsela Mengane (30),Mkazi wa Busanda, Geita anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Mama yake wa Kambo Witness Kanoga(50) chanzo kikidaiwa ni imani za kishirikina “mtuhumiwa alikuwa akimtuhumu Marehemu kuwa anamroga na amemsababisha kupata kifafa.