Wajamen nilikuwa nimepotea kidogo ila nadhani mnanikumbuka....
nimekuja kiupya upya safari hii.:eyebrows:
.....ndio karudi kinamna hiyo...lolavatar yako ina mgogoro.....
inafit sana kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa.....ndio karudi kinamna hiyo...lol
Ibadili basi usije ukafungiwa maisha bure, maana Invisible kawa mkali ukikosea tu kidogo... kifungo!!!!!PAka JIMMY anaijua avetor hiyo.....hata invisible anaikumbuka iyo...walisha nipiga mkwara mzito na kunifungia mwezi mmoja.mwaka 2009
Wajamen nilikuwa nimepotea kidogo ila nadhani mnanikumbuka....
nimekuja kiupya upya safari hii.:eyebrows:
Jamani nini Preta mbona jazba tena?nimekuelewa mkuu....hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na umaskini wa fikra ndani ya ubongo wako...kila la kheri
avatar yako ina mgogoro.....
Is that a big deal? Nadhani kuna walakini kidogo huko upstairs! Go and seek medical advise, young brother/sister!
Jamani nini Preta mbona jazba tena?
VISIBLE you have been warned