Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 2,064
*Mh. Sita aliruhusu mijadala ya wazi, mmojawapo ukamwomdoa ALIYETUNUKIWA (u)waziri mkuu mstaafu. Ngoma ilichezwa kwa mbwembwe zote lakini matokeo yake Sita akalipwa fadhila kwa kuhitaji spika mwanamke.
*Mh. Mwakyembe aliongoza kamati iliyojipa jina la wapambanaji dhidi ya ufisadi. fadhila yake ni kile kilichompeleka india (hakutaka kuweka wazi mwenyewe bali kupitia midomo ya maswahiba wake kama Mh. Sita)
*Dr. Ulimboka akasimama kutetea matibabu bora kwa watanzania kwa kudai maslai bora na maboresho ya maeneo ya kazi. fadhila yake, akapelekwa mstuni akang'olewa meno na kucha bila praizi. (ikumbukwe msitu huo umehusishwa kuwa eneo litumiwalo na wanaojiita wanausalama kutekeleza maovu yao)
*Walimu wakaamua kudai maslai bora. Matokeo yake ni kuondolewa kwenye zoezi la kuhesabu sensa, kutishwa kuondolewa ukuu wa shule, mwalim mkuu na wengine kuhamishiwa vijijini.
*Mh. Lema akasimama kuwatetea watanzania na watu wa jimbo lake (arusha). fadhila yake ni kile kinachodaiwa kuwa ni shinikizo kutoka kwa bosi na watu wake wa usalama kumdhulum haki yake.
Hiyo ni mifano michache sana, mingi ipo hasa katika vyombo vya usalama. Mwanausalama tena aliyeshika wadhifa mkubwa serikalini anauawa hadharani na wauaji wanaachwa huru kutanua na kula bata(msemo wa kileo)
1.Wana JF tafakarini na mnisaidie kunielewesha wapi tunaelekea.
2. Hivi hawa wanaotekeleza haya yote wanajua kuwa ipo siku watarudi mavumbini?
3. Makanisani na misikitini kwa nini watumishi wa MUNGU msilaani na kuhubili mjukwaani juu ya maswala
haya?
NAOMBA KUWASILISHA
*Mh. Mwakyembe aliongoza kamati iliyojipa jina la wapambanaji dhidi ya ufisadi. fadhila yake ni kile kilichompeleka india (hakutaka kuweka wazi mwenyewe bali kupitia midomo ya maswahiba wake kama Mh. Sita)
*Dr. Ulimboka akasimama kutetea matibabu bora kwa watanzania kwa kudai maslai bora na maboresho ya maeneo ya kazi. fadhila yake, akapelekwa mstuni akang'olewa meno na kucha bila praizi. (ikumbukwe msitu huo umehusishwa kuwa eneo litumiwalo na wanaojiita wanausalama kutekeleza maovu yao)
*Walimu wakaamua kudai maslai bora. Matokeo yake ni kuondolewa kwenye zoezi la kuhesabu sensa, kutishwa kuondolewa ukuu wa shule, mwalim mkuu na wengine kuhamishiwa vijijini.
*Mh. Lema akasimama kuwatetea watanzania na watu wa jimbo lake (arusha). fadhila yake ni kile kinachodaiwa kuwa ni shinikizo kutoka kwa bosi na watu wake wa usalama kumdhulum haki yake.
Hiyo ni mifano michache sana, mingi ipo hasa katika vyombo vya usalama. Mwanausalama tena aliyeshika wadhifa mkubwa serikalini anauawa hadharani na wauaji wanaachwa huru kutanua na kula bata(msemo wa kileo)
1.Wana JF tafakarini na mnisaidie kunielewesha wapi tunaelekea.
2. Hivi hawa wanaotekeleza haya yote wanajua kuwa ipo siku watarudi mavumbini?
3. Makanisani na misikitini kwa nini watumishi wa MUNGU msilaani na kuhubili mjukwaani juu ya maswala
haya?
NAOMBA KUWASILISHA