Visa ya rais

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
7,514
6,489
Wandugu naomba kufahamishwa, hivi rais anapokwenda nchi nyingine nae lazima awe na visa pamoja na msafara wake wote? Au yeye na msafara wake ni free entry? na ile diplomatic passport huwa naisikiaga tu je ni vipi? Na kama visa ni lazima kwa hiyo huwa wanakaguliwa uhalali wa visa zao kule V.I.P Airport?
 
Back
Top Bottom