zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Atasifu utajiri wa mwenzake hata kama anajuwa kuwa kaupata kwa njia zisizo halali.
Atajisifu kuwa anamjuwa sana tajiri fulani ingawa alipishana nae tu njiani.
Atajisifia kwa kumzidi akili mwajiri wake kuwa alimchapa elfu tano alipotumwa kitu cha elfu kumi (yeye akamwambia tajiri kanunua kwa elfu kumi na tano).
Atajisifia kuwa anabadili mademu kila siku mara mbili. Akiamini kabisa huo ndio urijali.
Atajisifia kuwa anatembea na mke wa mtu. Akiamini kabisa afanyavyo ni uhodari.
...endeleza, ntarudi baadae kuona visa vya Watanzania.
Atajisifu kuwa anamjuwa sana tajiri fulani ingawa alipishana nae tu njiani.
Atajisifia kwa kumzidi akili mwajiri wake kuwa alimchapa elfu tano alipotumwa kitu cha elfu kumi (yeye akamwambia tajiri kanunua kwa elfu kumi na tano).
Atajisifia kuwa anabadili mademu kila siku mara mbili. Akiamini kabisa huo ndio urijali.
Atajisifia kuwa anatembea na mke wa mtu. Akiamini kabisa afanyavyo ni uhodari.
...endeleza, ntarudi baadae kuona visa vya Watanzania.