Wakuu najiuliza vile visa vya wanajeria kukamatwa uwanja wa DSM havipo, na wa Watanzania kukamatwa nje na madawa naona haisikiki sana, Nakumbuka Kuna siku nimesafiri na Dogo mmoja tulipofika harare akawa ameishiwa pesa kabisa Akasema nimsaidie Simu ampgie msanii anaitwa ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, kwamba Huyo msanii atampatia pesa za kumfikisha joeburg kwani anafuata mzigo wa ngada , wa Huyo msanii.