Visa viwili vya Ugonjwa wa Virusi vya Marburg vyathibitishwa nchini Ghana

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,018
1,606
WHO imetuma timu ya wataalam nchini humo ili kusaidia wahudumu wa afya wa kujiandaa kwa uwezekano wa mlipuko baada ya kurekodi visa viwili vya virusi vya Marburg, ugonjwa wa kuambukiza ulio familia moja na virusi vya Ebola, baada ya majibu ya vipimo vya awali kutoka kwa wagonjwa wawili waliofariki

Mwakilishi wa WHO nchini humo, Dkt. Francis Kasohole amesema kuwa wagonjwa hao walionyesha dalili za kuhara, homa, kichefuchefu na kutapika na sampuli za vipimp vyao hizo zimepelekwa katika Taasisi ya Pasteur nchini Senegal kwa uchunguzi zaidi

Inaelezwa kuwa virusi vya Marburg huambukizwa kwa watu kutoka kwa popo wa na huenea kati ya wanadamu kupitia maji maji ya mwili na hadi sasa hakuna chanjo ya virusi hivyo

................................................

Ghana has reported two suspected cases of Marburg virus, a highly infectious disease in the same family as the virus that causes Ebola, authorities said on Thursday.

It came after preliminary tests done in the country on two patients, who have since died, came back positive for the virus.

The samples have been taken to the Institut Pasteur in Senegal for further tests, said Dr Francis Kasolohe, the World Health Organization (WHO)'s representative in Ghana.

"The two patients from the southern Ashanti region – both deceased and unrelated – showed symptoms including diarrhoea, fever, nausea and vomiting. They had been taken to a district hospital in the Ashanti region," he said.

If confirmed, these would be the first cases recorded in the country and the second in West Africa. Guinea confirmed one case last year.

The WHO has deployed a team of experts to the area to support Ghanaian health workers and prepare for a possible outbreak.

Marburg is transmitted to people from fruit bats and spreads between humans through bodily fluids.

No vaccine or treatments exist and those diagnosed with Marburg are usually advised to drink plenty of water as doctors treat a patient’s specific symptoms

Previous outbreaks and sporadic cases of Marburg in Africa have been reported in Angola, the Democratic Republic of Congo, Kenya, South Africa and Uganda

SOURCE: BBC
 
Back
Top Bottom