Visa Official Thread

Mimi nilienda Australia mji unaitwa perh. Nilienda kufanya kazi nikarudi. Visa ilikuwa rahisi kupata sasa sijui kwa sababu nilikuwa naenda fanya kazi. Kwanza kabisa nilituma maombi SA sababu TZ hamna ubalozi wa australia. Wakaninyima na kuniambia inabidi niombe visa kwenye nchi yangu au nchi karibu ya yangu. Nikajaza tena nikapeleka nairobi kwa njia ya DHL. wakaanza kuprocess na huku wakiniuliza maswali ya hapa na pale kwenye simu. Ila swali kubwa lilikuwa ni ulishawahi kusafiri nje ya africa? Nikawajibu no. Baada ya wiki wakanitumia kwenye email yangu elecronic visa. Australia wanajali sana unique professionalism.
unique profesionalism ndio nini mkuu? Wengine tumeishia la saba B.
 
Mimi nilienda Australia mji unaitwa perh. Nilienda kufanya kazi nikarudi. Visa ilikuwa rahisi kupata sasa sijui kwa sababu nilikuwa naenda fanya kazi. Kwanza kabisa nilituma maombi SA sababu TZ hamna ubalozi wa australia. Wakaninyima na kuniambia inabidi niombe visa kwenye nchi yangu au nchi karibu ya yangu. Nikajaza tena nikapeleka nairobi kwa njia ya DHL. wakaanza kuprocess na huku wakiniuliza maswali ya hapa na pale kwenye simu. Ila swali kubwa lilikuwa ni ulishawahi kusafiri nje ya africa? Nikawajibu no. Baada ya wiki wakanitumia kwenye email yangu elecronic visa. Australia wanajali sana unique professionalism.
Asante. Nitafuata taratibu nataka niende likizo moja huko. Ila nasikia kuna nyoka sana. Naogopa sana nyoka.
 
Asante. Nitafuata taratibu nataka niende likizo moja huko. Ila nasikia kuna nyoka sana. Naogopa sana nyoka.
Yeah alafu wanasumu sana. Pia kuna nzi wakubwa sana. Boarder control pia ipo juu sana. Public transport yao ipo bomba pia. Ukipanda public transport kuzunguka mjini free. Mfano labda unatoka posta unaenda mwenge hulipi nauli totally free mizunguko ya mjini. Ukitoka nje ya mji labda kibaha hivi ndio unalipa nauli. Na ukishuka kwenye public transport kama umefika safari yako lazima useme thank you to the driver.
 
Mimi nilienda Australia mji unaitwa perh. Nilienda kufanya kazi nikarudi. Visa ilikuwa rahisi kupata sasa sijui kwa sababu nilikuwa naenda fanya kazi. Kwanza kabisa nilituma maombi SA sababu TZ hamna ubalozi wa australia. Wakaninyima na kuniambia inabidi niombe visa kwenye nchi yangu au nchi karibu ya yangu. Nikajaza tena nikapeleka nairobi kwa njia ya DHL. wakaanza kuprocess na huku wakiniuliza maswali ya hapa na pale kwenye simu. Ila swali kubwa lilikuwa ni ulishawahi kusafiri nje ya africa? Nikawajibu no. Baada ya wiki wakanitumia kwenye email yangu elecronic visa. Australia wanajali sana unique professionalism.
unique proffesional kama ipi? ndg..
 
Kwani unajua umri na status yangu ? Yaani hata kupata visa ya kwenda tu hapo Kenya ni mtihani. Nisaidie jinsi ya kupata visa ya kwenda Australia jamani.
Omba chuo ukipata admission visa unapata kirahisi tu.Njia ya kwenda kusoma ndio njia rahisi kuliko zote ya kupata visa nchi yoyote
 
Omba chuo ukipata admission visa unapata kirahisi tu.Njia ya kwenda kusoma ndio njia rahisi kuliko zote ya kupata visa nchi yoyote
kwenye hiyo admision hawatahitaji uwe umelipia fee japo kidogo?ukizingatia huna mpango wa kusoma.
 
Ubalozi wa Australia kwa ukanda wa Afrika mashariki, upo Nairobi. Mtaa wenye ofisi za world bank.
 
Back
Top Bottom