Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,352
Huu ni uzi rasmi wa kiTanzania wa kupeana michongo ya njia rahisi za kupata VISA za nchi mbalimbali duniani.
Pia uta-share experience yako taratibu ulizofuata hadi ukapata visa ya nchi yeyote. (Usiwe mchoyo mtu akikuomba ushauri).
Tutaelezana nchi ambazo Watanzania wanaweza kuingia bila visa, nchi ambazo unapata visa ukifika airport na nchi ambazo lazima uombe visa kwanza kabla hujaenda.
Karibuni.
Pia uta-share experience yako taratibu ulizofuata hadi ukapata visa ya nchi yeyote. (Usiwe mchoyo mtu akikuomba ushauri).
Tutaelezana nchi ambazo Watanzania wanaweza kuingia bila visa, nchi ambazo unapata visa ukifika airport na nchi ambazo lazima uombe visa kwanza kabla hujaenda.
Karibuni.