Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

Mwaka 2011 nimemuuguza mzee..nikampeleka india..then south africa kote huko kwa miez minne mzee akawa bado hajapona natika kipindi chote hicho cha miez minne hapat choo lakn ananakula vizuri..
Hosp vipimo vikaonysha kaoza kila kitu,ndan.(mapafu,utumbo,figo,)lkn mzee nk,mzima..
Dr mmoja kule south akaniiita chamber ..huyu jamaa nk,mtanzania ila anabeba box huko..tukaongea sana..akaniuliza sana historia ya mzee.kishaakaniambia huku utapotrza hela mrudishe home mkaangaloe tiba za asili ..maradhi ya mzee sio ya kawaida
Nikaarange safar tukarud bongo..nikafikia lugalo hosp..mzee akalazwa tena hapo..mda wote huo nilikiwa siamin kama mzee karogwa..siku moja akaja rafiki yangu kunisalimia ila akaambatana na jamaa yake mmoja wakaja had hosp..kufika yule jamaa yake rafiki yangu alipomuona mzee akaguna kwa nguvu kiaha akatoka nje..sikijali sana ila nikanote kitu..badae akarudi..akawa kimua mda wote..
Walipotoka nikawasindikiza kidogo jamaa yule akankambi naomba bro naomba naomba namba yako ntakuchek..
Kesho yake akanichek akaomba tuonane ..tukaonana..akaniambia mkuu wewe umekuloa bongo hii..asilibyenu wapi..kwa kifupi akaniambia mbona pale baba hayupo kile ni kivuli..yule sio mtu..unauguza kitu kingine..niliogopa sana..akanishauri anipeleke kwa mdogo wake ni mtalam wa tiba asili..nikamtoa mzee hosp nikamuacha bunju kwa bro..nikasepa kigoma..
To cut thw story short ..mzee wangu alirogwa na kule kwa mtaalam nikaona chain nzima waliohusika na mganga akasema tumeshachelewa na mzee ..tar 14 dec mzee akafa..nikapeleka mwanza kwetu tukazika..baada ya siku mbili nikasafiri nakuondoka mwanza kurudi kigoma..nikakaa kule kwa wiki tatu..nikafanya jambo ambalo sikuwahi kulipanga katika maisha..KISASI KIKUU..
Niliemjulisha na anaejua jambo hili ni kaka yangu mkubwa tu..wengine wote had kesho hawajui..
Wachawi washenzi sana..

Fafanua mkuu uliwapa pigo gani watesi wako, namba ya huyo mtaalamu unaweza nitumia PM?
 
Alishawala wanae wanae watatu wa kiume, kabakiza mmoja tuu ambaye ni hohehahe.

Najua utauliza ulijuaje kama yeye ndio kahusika na vifo vyao, and the chain will go on

Kifupi ni kwamba uchawi upo ila kuuthibitisha huwa ni mtihani, hivyo acha maswali yasiyo na mbele wala nyuma.
Unforgetable
Acha kuishi kwa kudhani....uzee sio uchawi na hata hao watoto kufa huwezi kusema eti wameliwa na mama yao....labda Kama na ww ni mchawi mwenzake
 
Mwaka 2011 nimemuuguza mzee..nikampeleka india..then south africa kote huko kwa miez minne mzee akawa bado hajapona natika kipindi chote hicho cha miez minne hapat choo lakn ananakula vizuri..
Hosp vipimo vikaonysha kaoza kila kitu,ndan.(mapafu,utumbo,figo,)lkn mzee nk,mzima..
Dr mmoja kule south akaniiita chamber ..huyu jamaa nk,mtanzania ila anabeba box huko..tukaongea sana..akaniuliza sana historia ya mzee.kishaakaniambia huku utapotrza hela mrudishe home mkaangaloe tiba za asili ..maradhi ya mzee sio ya kawaida
Nikaarange safar tukarud bongo..nikafikia lugalo hosp..mzee akalazwa tena hapo..mda wote huo nilikiwa siamin kama mzee karogwa..siku moja akaja rafiki yangu kunisalimia ila akaambatana na jamaa yake mmoja wakaja had hosp..kufika yule jamaa yake rafiki yangu alipomuona mzee akaguna kwa nguvu kiaha akatoka nje..sikijali sana ila nikanote kitu..badae akarudi..akawa kimua mda wote..
Walipotoka nikawasindikiza kidogo jamaa yule akankambi naomba bro naomba naomba namba yako ntakuchek..
Kesho yake akanichek akaomba tuonane ..tukaonana..akaniambia mkuu wewe umekuloa bongo hii..asilibyenu wapi..kwa kifupi akaniambia mbona pale baba hayupo kile ni kivuli..yule sio mtu..unauguza kitu kingine..niliogopa sana..akanishauri anipeleke kwa mdogo wake ni mtalam wa tiba asili..nikamtoa mzee hosp nikamuacha bunju kwa bro..nikasepa kigoma..
To cut thw story short ..mzee wangu alirogwa na kule kwa mtaalam nikaona chain nzima waliohusika na mganga akasema tumeshachelewa na mzee ..tar 14 dec mzee akafa..nikapeleka mwanza kwetu tukazika..baada ya siku mbili nikasafiri nakuondoka mwanza kurudi kigoma..nikakaa kule kwa wiki tatu..nikafanya jambo ambalo sikuwahi kulipanga katika maisha..KISASI KIKUU..
Niliemjulisha na anaejua jambo hili ni kaka yangu mkubwa tu..wengine wote had kesho hawajui..
Wachawi washenzi sana..
Uliua cheni yote mkuu
 
Mwaka 2011 nimemuuguza mzee..nikampeleka india..then south africa kote huko kwa miez minne mzee akawa bado hajapona natika kipindi chote hicho cha miez minne hapat choo lakn ananakula vizuri..
Hosp vipimo vikaonysha kaoza kila kitu,ndan.(mapafu,utumbo,figo,)lkn mzee nk,mzima..
Dr mmoja kule south akaniiita chamber ..huyu jamaa nk,mtanzania ila anabeba box huko..tukaongea sana..akaniuliza sana historia ya mzee.kishaakaniambia huku utapotrza hela mrudishe home mkaangaloe tiba za asili ..maradhi ya mzee sio ya kawaida
Nikaarange safar tukarud bongo..nikafikia lugalo hosp..mzee akalazwa tena hapo..mda wote huo nilikiwa siamin kama mzee karogwa..siku moja akaja rafiki yangu kunisalimia ila akaambatana na jamaa yake mmoja wakaja had hosp..kufika yule jamaa yake rafiki yangu alipomuona mzee akaguna kwa nguvu kiaha akatoka nje..sikijali sana ila nikanote kitu..badae akarudi..akawa kimua mda wote..
Walipotoka nikawasindikiza kidogo jamaa yule akankambi naomba bro naomba naomba namba yako ntakuchek..
Kesho yake akanichek akaomba tuonane ..tukaonana..akaniambia mkuu wewe umekuloa bongo hii..asilibyenu wapi..kwa kifupi akaniambia mbona pale baba hayupo kile ni kivuli..yule sio mtu..unauguza kitu kingine..niliogopa sana..akanishauri anipeleke kwa mdogo wake ni mtalam wa tiba asili..nikamtoa mzee hosp nikamuacha bunju kwa bro..nikasepa kigoma..
To cut thw story short ..mzee wangu alirogwa na kule kwa mtaalam nikaona chain nzima waliohusika na mganga akasema tumeshachelewa na mzee ..tar 14 dec mzee akafa..nikapeleka mwanza kwetu tukazika..baada ya siku mbili nikasafiri nakuondoka mwanza kurudi kigoma..nikakaa kule kwa wiki tatu..nikafanya jambo ambalo sikuwahi kulipanga katika maisha..KISASI KIKUU..
Niliemjulisha na anaejua jambo hili ni kaka yangu mkubwa tu..wengine wote had kesho hawajui..
Wachawi washenzi sana..

And ikawaje?
 
Habari ndugu zangu,

Kwa kuwa leo nimetulia ngoja niwaeleze visa nilivyowahi kuviona katika safari yangu ya mwisho wa mwaka nilipomtembelea ndugu yangu ambae ni mganga.

Kwanza kabisa mimi tangu awali siamini mambo ya uchawi wala sina imani juu ya ulozi na uwepo wake hivyo ndugu yangu pamoja na kufanya shughuli hizo na kuendesha maisha yake lakini nilijua ni vitu ambavyo havipo.

Siku moja alfajiri alijiwa na ugeni wa bibi kizee na mjukuu wake msichana wa kama miaka 28 hivi kilingeni kwake, pamoja na kwamba siamini ushirikina lakini sikuonyesha wazi nilipokuwa pale ili niwe karibu nipate kujua undani wa haya mambo hivyo nikawa naingia kilingeni kwake kwa utiifu kuona utendaji na matokeo.

Na pia ni vigumu kumdharau kwa sababu amewekeza kuliko mimi msomi

Basi ndugu zangu, yule msichana alikuwa amedhoofu sana ishara kuwa ni mgonjwa wa muda mrefu, ramli ikaangaliwa na wakaambiwa mengi ambayo walikubaliana nayo mfano kama vile siku yalipoanza maradhi, namna anavyojisikia na chanzo cha maradhi.

Wakaandikiwa vifaa na kuondoka ili wakavitafute, cha ajabu ilipofika saa kumi jioni yule bibi akarudi peke yake na kumuuliza mganga kama anamkumbuka? Akajibiwa "Naaam si ulikuja asubuhi na mgonjwa, vipi maendeleo yake? Bibi akajibu sikuletwa na maendeleo yake ila nimekuja kukuomba akija usimuague na kwa kuwa ulimpa namba basi akikupigia mwambie umesafiri na kuhamisha kilinge kabisa!

Mganga akasema "kama hutaki aaguliwe ulimletea nini kwangu? Bibi akasema "kama nisingemleta ingewezekana vipi nije tuongee kama hivi mwanangu? Nimemleta nipajue na tujuane ili nije tuongee kama hivi, maana nisingemleta angekuja mwenyewe tu maana si unajua ameshasifiwa kwako".

Mganga akauliza nini lengo lako na ikiwa yule ni mjukuu wako kama ulivyosema asubuhi na kunisisitiza mbele yake nimuague apone kwani mmemaliza tiba zote na haponi?

Ajabu hapo yule bibi akavuta pumzi ndevu na kutabasamu huku akimsogelea kidogo karibu mganga na kusema "Enheee sasa hapo umeuliza swali la kiutu uzima, najua ki umri wewe ni mdogo sana kwangu ila kwa kuwa umeingia kwenye kazi hii basi wewe ni mtu mzima mwenzetu. Mimi nipo kwenye ngoma zetu hizi za utu uzima za usiku, unanielewa?
Mganga akajibu kifupi "endelea tu..

Bibi akaendelea..."yule ni mjukuu wangu kabisa na mama yake nilimtafuna mwaka tisini na mbili na nikapata daraja nzuri tu kwa kuanzia, ila sasa huyu binti ile ni kazi yangu mimi hivyo muda si mrefu nitaimaliza naomba usinirudishe nyuma! Kwani akifa leo yule basi mimi nitakuwa katika daraja nzuri sana na kilemba cha ngazi sita, nitakuwa na mimi nakaa kwenye kiti cha enzi na kutoa hukumu mbali mbali nimechoka kudharauliwa na watoto wadogo!

ITAENDELEA NGOJA NIPATE CHAKULA KWANZA...

NB: Hapa naeleza niliyoyaona kwa macho yangu na hakuna tangazo la uganga na sitahusika na hayo na pia sipo kuaminisha watu imani ya giza hivyo tujikite katika mikasa pekee.
@ T11 umefika huku mkuu
@ Jimena umefika huku mamii
 
Uliua cheni yote mkuu
Jaribu kufikiri mkuu..nimeuguza india mieiz miwili ..south miez minne..jula 6..lugalo wiki tatu. Na bado kumbe nilikiwa nauguza kitu kingine kisicho na uhai..mshua nimemwacha mwanza wanatamba nae na kumtesa kichawi..tumezika kitu kingine...familia imeyumba..imagine mkuu mzee katusomesha watoto wote 6 level ya masters..gafla kuanzia 2010 wakubwa zangu wakaanza kupoteza kaz na kusimamishwa..nikabaki peke yangu tena nadhan nilipona sababu nilikuwa nje..lakn wengine wote watano walipata shida kazini.. bado mzee wakamtenda jeur..
Kweli wahisika wamelipa garama ya matendo yao..
 
Jaribu kufikiri mkuu..nimeuguza india mieiz miwili ..south miez minne..jula 6..lugalo wiki tatu. Na bado kumbe nilikiwa nauguza kitu kingine kisicho na uhai..mshua nimemwacha mwanza wanatamba nae na kumtesa kichawi..tumezika kitu kingine...familia imeyumba..imagine mkuu mzee katusomesha watoto wote 6 level ya masters..gafla kuanzia 2010 wakubwa zangu wakaanza kupoteza kaz na kusimamishwa..nikabaki peke yangu tena nadhan nilipona sababu nilikuwa nje..lakn wengine wote watano walipata shida kazini.. bado mzee wakamtenda jeur..
Kweli wahisika wamelipa garama ya matendo yao..

Sometimes mbwai mbwai tu, wanaumiza sana hawa watu
 
Jaribu kufikiri mkuu..nimeuguza india mieiz miwili ..south miez minne..jula 6..lugalo wiki tatu. Na bado kumbe nilikiwa nauguza kitu kingine kisicho na uhai..mshua nimemwacha mwanza wanatamba nae na kumtesa kichawi..tumezika kitu kingine...familia imeyumba..imagine mkuu mzee katusomesha watoto wote 6 level ya masters..gafla kuanzia 2010 wakubwa zangu wakaanza kupoteza kaz na kusimamishwa..nikabaki peke yangu tena nadhan nilipona sababu nilikuwa nje..lakn wengine wote watano walipata shida kazini.. bado mzee wakamtenda jeur..
Kweli wahisika wamelipa garama ya matendo yao..

Hizi familia za kuwa nazo makini mara mtoto wa baba mkubwa mara shangazi kumbe moyoni wana lao jambo umesema mlizika kitu kingine ni kwamba mshua alichukuliwa msukule? baada ya kuwatenda watesi wenu hamjapata kasumba tena?

Ndio maana mimi na mambo ya misaada sijui kutuma hela kwa wajomba huko vijijini nilishaacha maana hawana dogo wanaweza tumia pesa unayowatumia kukuadhibu wewe...

Pia naomba unisaidie namba ya huyo mtaalamu maana mwishoni mwa mwaka jana huku ninapokaa kuna asubuhi moja nimeamka kutoka nje nikakuta kuna damu, majimaji na majivu kwenye mlango wangu wa kuingilia sebuleni nikajua wazee wa kazi wananiwinda...

Hivyo na mimi ni muda wa kujihami sasa, mwisho kabisa huku maofisini tuwe makini sana huwezi jua ni nani hasa anatamani nafasi uliyopo muda wowote wazee wa kazi wanapindua meza...
 
Back
Top Bottom