devor
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 1,031
- 916
We una kipolo kule naona unakosoa wenzako tuNimekufuatilia nimegundua upo smart. Yale maeneo yanayoleta maswali unakuja yatolea suluhisho kwenye story ndani kwa ndani hivyo unapitia mawazo ya watu na kuangalia wanakosoa wapi.
Then unakuja na kuweka kwenye story namna ambayo inajibu waswasi wao. Ni mwandishi makini. Unajua kutunga na ku twist story vizuri. Hii unaweza andikia kitabu.
Kuna mtu alisema wewe si mgeni wa huyo mganga mbona unaandika kama msaidizi. Haraka umekuja umejibu kuwa kweli ulienda kama ku prove so ikabidi uwe msaidizi wake... Napenda ulivyo mjanja.