Naomba Kila aliwahi kutembelea au kusoma au mwanafunzi wa vyuo vikuu achangie alichokumbana nacho ili tuyapime na tuuangalie wasomi wetu wanaishi maisha gani:
i)UDSM.
Nilipotembelea Chuo kikuu pale, nilikuatana na moja ya kero kubwa hasa ya uchafu vyooni.
computing department.ukiingia maji mpaka nyayoni. maji machafu yenye kila harufu ya uchafu. sikuona tofauti kati ya choo cha wauza mitumba manzese na choo cha wasomi
2)IFM
a)Nilipowahi kutembelea hivi karibuni, vyoo vinanuka, maji adimu huko, wanafunzi wanajisaidia kwenye mifuko. lkn ukipishana nao utadhani wanatoka ulaya sasa hivi.
b)sehemu ya kulia hapo usiseme utakuta watu wanakula vikutani wakiwa wamesima.meza unazihesabu.
c)Siku moja maajbu ya mwaka niliyaona. kijana mmoja amemwangusha mama mtu mzima hapungui 60 kwa kugombania kiti. mama anataka kukaa msomi yaani jikakaka likakivuta kwa nyuma. duhu watu wote walipigwa na butwaa. lkn jikaka ambae ni wazi mwanafunzii amevingania viti eti chake, rafiki yake na mpenzi wake walipo darasani. tatizo viti kidogo
d)Usipite karibu ya madirisha, mara utakuta miba ya samaki na chembe za wali zimetapakaa kichwani. yaani wasomi wanachungulia dirishani na kukmwagia maji mpita njia
UTAKUTA TANGAZO LIMEANDIKWA. USIMWAGE MADIRISHANI KWANI WEWE NI MSOMI UWE MFANO KWA JAMII. LKN WAPI? MAJI YANAZIDI KUMWAGWA NA WASOMI WETU HAWA.
NYONGEZA
i)UDSM.
Nilipotembelea Chuo kikuu pale, nilikuatana na moja ya kero kubwa hasa ya uchafu vyooni.
computing department.ukiingia maji mpaka nyayoni. maji machafu yenye kila harufu ya uchafu. sikuona tofauti kati ya choo cha wauza mitumba manzese na choo cha wasomi
2)IFM
a)Nilipowahi kutembelea hivi karibuni, vyoo vinanuka, maji adimu huko, wanafunzi wanajisaidia kwenye mifuko. lkn ukipishana nao utadhani wanatoka ulaya sasa hivi.
b)sehemu ya kulia hapo usiseme utakuta watu wanakula vikutani wakiwa wamesima.meza unazihesabu.
c)Siku moja maajbu ya mwaka niliyaona. kijana mmoja amemwangusha mama mtu mzima hapungui 60 kwa kugombania kiti. mama anataka kukaa msomi yaani jikakaka likakivuta kwa nyuma. duhu watu wote walipigwa na butwaa. lkn jikaka ambae ni wazi mwanafunzii amevingania viti eti chake, rafiki yake na mpenzi wake walipo darasani. tatizo viti kidogo
d)Usipite karibu ya madirisha, mara utakuta miba ya samaki na chembe za wali zimetapakaa kichwani. yaani wasomi wanachungulia dirishani na kukmwagia maji mpita njia
UTAKUTA TANGAZO LIMEANDIKWA. USIMWAGE MADIRISHANI KWANI WEWE NI MSOMI UWE MFANO KWA JAMII. LKN WAPI? MAJI YANAZIDI KUMWAGWA NA WASOMI WETU HAWA.
NYONGEZA