Kama sinema vile madege ya Ethiopian airlines hutua viwanjani kwa hisia huku yamebeba abiria:
Ethiopian Airlines Airbus A350 Suffers Wing Tip Strike During Landing
Mtu anaweza vipi tua dege kwa kusikiliza wazimu wake tu?
Siyo case 1 bali ni case baada ya case na katika kipindi kifupi.
Haya yanawezekana namna gani?
Haya si ndiyo yale mambo yetu kama haya na kina Sirro, Siyani, Tiganga, Majaliwa, Mwambe, Makamba nk? Mambo kama haya yanatokea hivi kwa wenzetu walio staarabika kweli?
Pana haja ya kumkagua mtu mweusi vizuri. Kumbe tunaweza walaumu kina Majaliwa na wenzao kwa kuwaonea.
Yawezekana tuna matatizo ya ndani kwa ndani.
Yawezekana siyo bure.
Ethiopian Airlines Airbus A350 Suffers Wing Tip Strike During Landing
Mtu anaweza vipi tua dege kwa kusikiliza wazimu wake tu?
Siyo case 1 bali ni case baada ya case na katika kipindi kifupi.
Haya yanawezekana namna gani?
Haya si ndiyo yale mambo yetu kama haya na kina Sirro, Siyani, Tiganga, Majaliwa, Mwambe, Makamba nk? Mambo kama haya yanatokea hivi kwa wenzetu walio staarabika kweli?
Pana haja ya kumkagua mtu mweusi vizuri. Kumbe tunaweza walaumu kina Majaliwa na wenzao kwa kuwaonea.
Yawezekana tuna matatizo ya ndani kwa ndani.
Yawezekana siyo bure.