cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
hivi mtu akija hapa tanzania na VISA card ambayo amefungulia account katika nchi ya ulaya,anaweza kuingia ndani katika bank na kupewa pesa counter kama hataki kutoa pesa ktk ATM machines?kama inawezekana je ni katika bank gani?
..hope swali langu limeeleweka..
..hope swali langu limeeleweka..