Visa 59 vya Corona vyaongezeka nchini Kenya, Jumla ya idadi ni 4797

Cannabis

JF-Expert Member
Jan 20, 2014
8,937
25,279
EbHh_fTWAAkhoHD.jpeg

Serikali ya Kenya imetangaza visa vipya 59 vya maambukizi ya virusi vya corona. Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Kenya Dr. Mercy Mwangangi ambapo alifananua kuwa idadi hiyo imepatikana baada ya kupima sampuli 2354 na kupungua kwa idadi ya visa vipya haimaanishi kuwa ugonjwa huo wa COVID-19 unapungua nchini humo. Vile vile Dr. Mwangangi ameleza kuwa wagonjwa wawili wamepoteza uhai na kufikisha jumla ya vifo 125, na pia wagonjwa 73 wameruhusiwa baada ya kupona na kuongeza idadi ya waliopona kufikia 1,680.

===

59 more people have tested positive for COVID-19 in Kenya bringing the total number of cases in the country to 4,797.

Health CAS Mercy Mwangangi said all of the new cases are Kenyans: 47 are male and 12 are female.

She said the latest cases are from 2,354 samples that were tested in the last 24 hours.

Total cumulative samples tested now stands at 142,366.

Age distribution of the new cases is between to years: are males and are females.

73 more people have however been discharged bringing the total number of recoveries to 1,682.

Two others succumbed to the COVID-19 disease in the last 24 hours raising the death toll to 125.

The cases are spread out in Nairobi 28, Mombasa 21, Kilifi 3, Kiambu 2, Machakos 1, Kisii 1, Bungoma 1 and Webuye 1.

Source: CITIZEN TV
 
Hivi hawa jamaa si ndio walikuwa wanataka madereva wetu wapime mara 2 kwakuwa wengi wana virusi...?
 
Naona Mk 254 kachoka kotoa takwimu sikuhizi baada ya kuamini tulichokua tunamwambia kama kupima haisaidii chochote ,sasa hivi anahisi kufa kufa kufa kufa
 
MAAMBUKIZI YA CORONA NCHINI KENYA YAFIKIA WATU 4,797 HUKU WALIOPONA NI 1,680 NA VIFO 125

Katibu wa Wizara ya Afya nchini Kenya Mercy Mwangangi ametangaza visa vipya 59 vya maambukizi ya virusi ya Corona hii leo na kufanya idadi ya waathiriwa wa ugonjwa huo kufikia watu 4,797.

Idadi ya walioaga dunia kufuatia maambukizi ya corona yafikia watu 125baada ya vifo 2 kuripotiwa hii leo.
Waathiriwa wengine 73 wamepata nafuu na idadi ya waliopona kupanda hadi watu 1,680
==

59 more people have tested positive for COVID-19 in Kenya bringing the total number of cases in the country to 4,797.

Health CAS Mercy Mwangangi said all of the new cases are Kenyans: 47 are male and 12 are female.

She said the latest cases are from 2,354 samples that were tested in the last 24 hours.

Total cumulative samples tested now stands at 142,366.

Age distribution of the new cases is between to years: are males and are females.

73 more people have however been discharged bringing the total number of recoveries to 1,682.
 
Inabidi wanunue vifaa zaidi vya kupimia, maana baadhi wakora waliviiba.
 
Back
Top Bottom