Viroba vya teketezwa mbeya

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,837
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoani Mbeya kwa kushirikiana na mamlaka ya chakula na Dawa (TFDA) wameteketeza shehena kubwa ya pombe haramu inayofungwa kwenye pakti za Plasiti maarufu kwa jina la viroba baada ya kuikamata ikiingizwa nchini kwa njia za magendo kutoka nchi za Malawi na Zambia.ITV
 
Back
Top Bottom