Endlea Tuuu mkuu wangu maana maisha Ya Viwonder ndo hayaAcha tunywe ngoja niende kwa Mangi kukigida
Hakuna namna let me have a sip of itEndlea Tuuu mkuu wangu maana maisha Ya Viwonder ndo haya
Sijakuelewa mkuuIko légagally ndo nin
Jina linajielezaNimekuta Kijana wangu wa umri mdogo kama amepandwa na kichaa vile, baada ya kufanya uchunguzi wa kina nikakutana na hiyo kitu kwenye Bag lake...
Swali langu mpaka sasa ..
Hii ni Pombe gani? Iko legally?
Kufuatana na jina, hiyo pombe haina madhara maana Kitoko maana yake safi ama murua. usiwe na wasiwasi hili ni toleo jipya kwa wapenzi wa CDM na CCM kwaajili ya uchaguzi wa mwaka 2020. Nguvu kazi ya kujipaka rangi mwili mzima za kijani na njano na wengine kufagia na kudeki barabara ya mfalme wa wanamitandao.Nimekuta Kijana wangu wa umri mdogo kama amepandwa na kichaa vile, baada ya kufanya uchunguzi wa kina nikakutana na hiyo kitu kwenye Bag lake...
Swali langu mpaka sasa ..
Hii ni Pombe gani? Iko legally?
Haa. ..kwa Hiyo unataka kusema mwanangu ni mwanachama??Kufuatana na jina, hiyo pombe haina madhara maana Kitoko maana yake safi ama murua. usiwe na wasiwasi hili ni toleo jipya kwa wapenzi wa CDM na CCM kwaajili ya uchaguzi wa mwaka 2020. Nguvu kazi ya kujipaka rangi mwili mzima za kijani na njano na wengine kufagia na kudeki barabara ya mfalme wa wanamitandao.
Kama kishafika umri wa miaka 18 muangalie sana asijikite katika makundi haya mawili ya CCM na CHADEMA, hawa watu ni wa kuwaonea huruma maana wapo kama wafuasi wa Trump viongozi wao wakiwaambia kinyesi ni chakula kizuri hata ukibisha utaishia kutukanwa, na hii nina wasiwasi ni kwasababu ya kupata KITOKO nyingi. Mtu mwenye akili timamu hawezi kujipaka mwili wake kufanya bendera ya ccm ama kwenda kudeki barabara ya vumbi mfalme apite.Haa. ..kwa Hiyo unataka kusema mwanangu ni mwanachama??
Hata hivyo umeniondolea stress soon nitambadilishia adhabu Dogo
Wapigie TBS waulize maana wanaitambua.Nimekuta Kijana wangu wa umri mdogo kama amepandwa na kichaa vile, baada ya kufanya uchunguzi wa kina nikakutana na hiyo kitu kwenye Bag lake...
Swali langu mpaka sasa ..
Hii ni Pombe gani? Iko legally?
Naomba nikutongoze please hiyo avatar daaahPombe yenyewe inaitwa kitoko, itaacha kupandisha kichaa???