kabwinyola
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 560
- 678
Wanabodi yani tunakoelekea kubaya,
Kuna mdada mmoja jina × anaishi Gongo la Mboto, kipindi hajaolewa alikuwa mtulivu sana na utulivu wake ulisababishwa na kuwa chini ya uangalizi mkubwa wa babake ambaye ni mchungaji. Kipindi anachumbiwa alipata fursa ya kuwapiku wengine na kuolewa akiwa wa kwanza katika mazingira yale kwa kigezo cha kuwa hajawahi kulala na mwanaume.
Kwenye ndoa baada ya mwaka mmoja ameshafanya kutembea na mdogo mtu yaani shemeji yake alokuwa anaishi naye mume wake anavyosafiri. Mume wake anafanya biashara ya kusambaza computer mashuleni, na anazifuata Dubai na Hong Kong. Kabla hajaoa ilibidi amlete ndogo wake aishi naye kwake na kumlipia Chuo cha maji (Rwegalulira water supply).
Baada ya kuoa mdogo mtu ameonekana kufurahia ndoa kuliko mwenye ndoa.
Na alivyo bwege anasimulia watu kitaa, kweli kumbe wakati wa kuoa usifuate kigezo cha bikra, maana wengine wahuni wanakuwa hawana njia ya kuzitoa.
Kuweni makini kabla ya kuoa.
Kuna mdada mmoja jina × anaishi Gongo la Mboto, kipindi hajaolewa alikuwa mtulivu sana na utulivu wake ulisababishwa na kuwa chini ya uangalizi mkubwa wa babake ambaye ni mchungaji. Kipindi anachumbiwa alipata fursa ya kuwapiku wengine na kuolewa akiwa wa kwanza katika mazingira yale kwa kigezo cha kuwa hajawahi kulala na mwanaume.
Kwenye ndoa baada ya mwaka mmoja ameshafanya kutembea na mdogo mtu yaani shemeji yake alokuwa anaishi naye mume wake anavyosafiri. Mume wake anafanya biashara ya kusambaza computer mashuleni, na anazifuata Dubai na Hong Kong. Kabla hajaoa ilibidi amlete ndogo wake aishi naye kwake na kumlipia Chuo cha maji (Rwegalulira water supply).
Baada ya kuoa mdogo mtu ameonekana kufurahia ndoa kuliko mwenye ndoa.
Na alivyo bwege anasimulia watu kitaa, kweli kumbe wakati wa kuoa usifuate kigezo cha bikra, maana wengine wahuni wanakuwa hawana njia ya kuzitoa.
Kuweni makini kabla ya kuoa.