TANZIA VIRGIL ABLOH, Mwanzilishi na Designer wa OFF-WHITE Afariki Dunia kwa Kansa

Contraband

JF-Expert Member
Nov 14, 2021
1,023
2,736
virgil.jpg


Louis-Vuitton-LV408-Virgil-Abloh-Release-Date-Info-0.jpg

Mbunifu huyu aliyejipatia umaarufu kwa ubunifu wa mavazi ya mtaani (streetwear) na kupelekea kuingia mkataba na Makampuni kama Nike na Jordan amefariki dunia muda si mrefu kwa ugonjwa wa kansa akiwa na miaka 41,aliogundulika nao mnamo 2019.

Mbunifu huyu alikuwa mashuhuri katika utamaduni wa HipHop na aliandikwa katika mashairi na wasanii wengi akiwemo Young Thug, Pop Smoke, Big Sean, Drake, Future, Lil Durk na wasanii wengineo ambao nyimbo zao zimevuma katika vyombo vya habari na mtandao wa internet.

Kesho yako haijaahidiwa na jitahidi kuishi maisha yako na kuyafurahia, bila kuzingatia vikwazo na changamoto unazopitia kwani hivyo ni vya muda mfupi tu.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Kifo chake kilitangazwa katika ukurasa wake rasmi wa mtandao wa kijamii wa Instagram. Usome hapa:

We are devastated to announce the passing of our beloved Virgil Abloh, a fiercely devoted father, husband, son, brother, and friend. He is survived by his loving wife Shannon Abloh, his children Lowe Abloh and Grey Abloh, his sister Edwina Abloh, his parents Nee and Eunice Abloh, and numerous dear friends and colleagues.

For over two years, Virgil valiantly battled a rare, aggressive form of cancer, cardiac angiosarcoma. He chose to endure his battle privately since his diagnosis in 2019, undergoing numerous challenging treatments, all while helming several significant institutions that span fashion, art, and culture.

Through it all, his work ethic, infinite curiosity, and optimism never wavered. Virgil was driven by his dedication to his craft and to his mission to open doors for others and create pathways for greater equality in art and design. He often said, “Everything I do is for the 17-year-old version of myself,” believing deeply in the power of art to inspire future generations.

We thank you all for your love and support, and we ask for privacy as we grieve and celebrate Virgil’s life.

Virgil Abloh
September 30, 1980 – November 28, 2021
 
RIP Virgil

Maybe the pressure of being a defendant in the Maxwell trial got the best of him!
 
RIP Virgil

Maybe the pressure of being a defendant in the Maxwell trial got the best of him!
Apparently, He was diagnosed with cancer back in 2019, and he was battling it privately. Seems to be one of the reasons he sold his 60% stake of Off-White shares to LVMH earlier this year.
 
Apparently, He was diagnosed with cancer back in 2019, and he was battling it privately. Seems to be one of the reasons he sold his 60% stake of Off-White shares to LVMH earlier this year.
I read somewhere, he was looking healthy at the iii points festival on Saturday contrary to the final stages of cancer. It would have taken a heavy toll on his physical health!!
 
Too sad loosing energetic and hustler young man
Yes, he was a bigtime winner, so influential, did what most couldn't. Made himself a name and inspired many people. Sadly he left a family behind, a beautiful wife and children.
 
hawa jamaa mbona kansa inawasumbua sana!!!
Life style yao nahisi ndo tatizo,junk foods unakuta mtu kuanzia siku inaanza mpaka inaisha hajatia chochote cha asili kinywani na siyo kwamba havipo ubize wao ndo unaosababisha.

Mungu amrehemu!

NB:sijafika Marekan,so mwenyewe nilihadithiwa tu but ina-make sense.
 
Life style yao nahisi ndo tatizo,junk foods unakuta mtu kuanzia siku inaanza mpaka inaisha hajatia chochote cha asili kinywani na siyo kwamba havipo ubize wao ndo unaosababisha.

Mungu amrehemu!

NB:sijafika Marekan,so mwenyewe nilihadithiwa tu but ina-make sense.
Ndiyo mkuu, vyakula vilivyokuwa processed kwenye viwanda vina mambo mengi sana. Na kule kwao vyakula vya asili ni adimu kidogo ukilinganisha na huku kwetu. Hata huku kama tutaacha utamaduni wetu kwenye vyakula tutegemee sana mambo ya kansa kuongezeka. Vilevile radiation pia inasababisha kansa.
 
Niliwahi kuattend show yake moja Paris ni designer ambaye ni talented sana usiku ule mastaa wakubwa wa Marekani akina Playboi carti and others walivaa mavazi yaliyodesigniwa kiweledi sana na yeye toka hapo nikamkubali sana jamaa
 
Sisi hatuna utaratibu wa kufanya check up...
Watu wanakufa na tunazika bila kujua chanzo ni nini
Marehemu nae hajawahi fanya checkups
Kansa ipo hadi huku

mkuu kansa gani unasemea inayoua bila kujidhihirisha!!!

maana huwa inakwenda chini chini ndio ila baadae lazima itoe ngozi yake.
 
Back
Top Bottom