Nimesoma makala Mzee Tegambwage leo ikanibidi niandike kuishauri CHADEMA. Mzee huyu anasema vipo virusi vya CCM ndani ya Upinzani, anasema ili kutambua virusi hivyo ni pale ukamwona mtu ambaye ni kiongozi ndani ya chama chake cha upinzani lakini wakati wa kampeni badala ya kumpigia kampeni mteule wa chama chake yeye anampigia kampeni mteule wa CCM. Kwa msingi huo tajeni virusi vilivyo ndani ya CHADEMA ili tuanze kuishi navya kwa matumaini naanza na:
- Shibuda ni kirusi