Tunapozungumzia uthubutu;
Tusisahau kuthubutu bila kuzingatia kanuni (Ethic's) katika kazi husika!
Wamiliki wa Wasafi wamethubutu na wanania njema ya kuleta mabadiliko kwenye media lakini malengo yao yataendelea kuwa butu kutokana na aina ya baadhi watangazaji wanaowaajili kushindana kuropoka!
Wapuuzi na waropokaji wamewapa nafasi kubwa kuibeba Media kuliko weledi! Hivyo Wapuuzi na waropokaji kwa nguvu ileile ya kuibeba Wasafi FM ndivyo watavyoindosha kwa upuuzi wao! Na kwasababu ya upuuzi wa baadhi ya watangazaji wao ni rahisi sana kuihujumu media IKAFA kupitia Uropokaji wao wenyewe!
Namna ya kuipoteza na kuihujumu wasafi ni rahisi sana kupitia Shehena ya Wapuuzi na waropokaji waliojaa kwenye vipindi vya sportsArena,Mashamsham, na Mgahawani!
TCRA inawaonea huruma wamiliki wa media kuvifutilia mbali vipindi vya namna hii lakini IPO siku huruma itakoma Endapo wamiliki wasipowachukulia hatua.
Tusisahau kuthubutu bila kuzingatia kanuni (Ethic's) katika kazi husika!
Wamiliki wa Wasafi wamethubutu na wanania njema ya kuleta mabadiliko kwenye media lakini malengo yao yataendelea kuwa butu kutokana na aina ya baadhi watangazaji wanaowaajili kushindana kuropoka!
Wapuuzi na waropokaji wamewapa nafasi kubwa kuibeba Media kuliko weledi! Hivyo Wapuuzi na waropokaji kwa nguvu ileile ya kuibeba Wasafi FM ndivyo watavyoindosha kwa upuuzi wao! Na kwasababu ya upuuzi wa baadhi ya watangazaji wao ni rahisi sana kuihujumu media IKAFA kupitia Uropokaji wao wenyewe!
Namna ya kuipoteza na kuihujumu wasafi ni rahisi sana kupitia Shehena ya Wapuuzi na waropokaji waliojaa kwenye vipindi vya sportsArena,Mashamsham, na Mgahawani!
TCRA inawaonea huruma wamiliki wa media kuvifutilia mbali vipindi vya namna hii lakini IPO siku huruma itakoma Endapo wamiliki wasipowachukulia hatua.