Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Samahani sana P Mayalla na wakuu wengine wa JF,
Siungi mkono hii hoja na huo ni uamuzi wangu unaotokana na baadhi ya mambo ambayo yananishawishi kufikia hitimisho hili,
1. P Mayalla aliwahi kuwa na kipindi cha kiti moto..Hicho kipindi kilitoweka ghalfa na hadi leo hajawahi kutueleza kilichomfanya asitishe kipindi chake...
Kama alifikia hatua hiyo bila kuwataarifu watazamaji wake, atashindwaje kufanya kitu kama hicho tena?
2. Taarifa za JF zinaonesha kuwa ndugu P Mayalla amekuwa mwanachama wa JF tokea 2/11/2009. Lakini ihadi leo ameweka mabandiko 74 tu ikiwemo yale aliyobandika leo....Kwa miaka yote hiyo alikuwa wapi? Kimemtokea nini hadi anakuja na wazo lake la kupeleka JF kwenye TV?
3. Kama kweli ni ubunifu na amejua leo baada ya kujificha kwa miaka 4 (akiwa member wa JF), kwa nini asianzishe mtandao wake tukampa maoni huko huko?
4. Amependekeza kuanza na suala la mogomo wa madakatari, anaweza kutupa uhakika msimamo wake kama mtu binafsi ulikuwa upi katika hili suala?
Haya ni baadhi tu ya mambo, hata hivyo nasisitza kuwa siungi mkono pendekezo la Pascal na ikibidi kutumia mawazo ya watu wa JF basi naweka objection ili asitumie mawazo yangu hata siku moja.
DC!
Siungi mkono hii hoja na huo ni uamuzi wangu unaotokana na baadhi ya mambo ambayo yananishawishi kufikia hitimisho hili,
1. P Mayalla aliwahi kuwa na kipindi cha kiti moto..Hicho kipindi kilitoweka ghalfa na hadi leo hajawahi kutueleza kilichomfanya asitishe kipindi chake...
Kama alifikia hatua hiyo bila kuwataarifu watazamaji wake, atashindwaje kufanya kitu kama hicho tena?
2. Taarifa za JF zinaonesha kuwa ndugu P Mayalla amekuwa mwanachama wa JF tokea 2/11/2009. Lakini ihadi leo ameweka mabandiko 74 tu ikiwemo yale aliyobandika leo....Kwa miaka yote hiyo alikuwa wapi? Kimemtokea nini hadi anakuja na wazo lake la kupeleka JF kwenye TV?
3. Kama kweli ni ubunifu na amejua leo baada ya kujificha kwa miaka 4 (akiwa member wa JF), kwa nini asianzishe mtandao wake tukampa maoni huko huko?
4. Amependekeza kuanza na suala la mogomo wa madakatari, anaweza kutupa uhakika msimamo wake kama mtu binafsi ulikuwa upi katika hili suala?
Haya ni baadhi tu ya mambo, hata hivyo nasisitza kuwa siungi mkono pendekezo la Pascal na ikibidi kutumia mawazo ya watu wa JF basi naweka objection ili asitumie mawazo yangu hata siku moja.
DC!