Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,885
kwa wale wajasiriaardhi inatakiwa kujua hii mamboi ili kuepuka kuibiwa.
ekari moja ni sawa na eneo lenye ukubwa wa mita za mraba elfu nne (4000m[SUP]2[/SUP]) mfano.viwanja vingi vya mpira huwa na urefu wa mita tisini 90m na upana wa mita arobaini na tano 45m. ukichukua 45x90 unapata mita za mraba 4050m[SUP]2. [/SUP]kwa hiyo tunaweza sema ekari moja ni sawa na uwanja wa mpira wenye vipimo standard. kama shamba unalonunua haliko na pembe nne unaweza omba msaada kwa mtaalamu akusaidie kupima eneo. kumbuka hapa hatuongelei vipimo kuwa 45x90 bali eneo lazima liwe 4000m[SUP]2[/SUP] kwa hiyo kama shamba lako lina urefu na upana wa 50x80m basi ni eka sababu litakuwa na eneo la 4000m[SUP]2
[/SUP]hekta moja ni sawa na ekari mbili na nusu. ni eneo lenye ukubwa wa 10,000m[SUP]2 [/SUP]au sawa na eneo la 100mx100m au 250mx40m au 500mx20m
wenu katika ujasiriamali,
Red Giant.
ekari moja ni sawa na eneo lenye ukubwa wa mita za mraba elfu nne (4000m[SUP]2[/SUP]) mfano.viwanja vingi vya mpira huwa na urefu wa mita tisini 90m na upana wa mita arobaini na tano 45m. ukichukua 45x90 unapata mita za mraba 4050m[SUP]2. [/SUP]kwa hiyo tunaweza sema ekari moja ni sawa na uwanja wa mpira wenye vipimo standard. kama shamba unalonunua haliko na pembe nne unaweza omba msaada kwa mtaalamu akusaidie kupima eneo. kumbuka hapa hatuongelei vipimo kuwa 45x90 bali eneo lazima liwe 4000m[SUP]2[/SUP] kwa hiyo kama shamba lako lina urefu na upana wa 50x80m basi ni eka sababu litakuwa na eneo la 4000m[SUP]2
[/SUP]hekta moja ni sawa na ekari mbili na nusu. ni eneo lenye ukubwa wa 10,000m[SUP]2 [/SUP]au sawa na eneo la 100mx100m au 250mx40m au 500mx20m
wenu katika ujasiriamali,
Red Giant.