Wataita mwezi ujao mwishoni so jiandae vizuri kwa mchujo,andaa pesa ya lodge na nauli ya ziada ya kupanda GUTA pale Jangwaniduh vp na huku ?
Mwanangu unatolea sana Macho Unapoomba Nafasi ebu jifunze kuwa Mvumilivu mkuu Utaratibu Utendeke maana itakusaidia Mtaani ni kugumu zaidi kama utaendelea hivo na usisahau Unapoomba kazi usiweke Mategemeo sana maana itakuumiza endapo utakosa nafasi hiyo maana sio kila kazi utaitwa USAILI,UTAPATA UPDATES,AU UTAJUA NINI KINAENDELEA zingine juu kwa juu tu watu wanawekana sasa isikupe Stress pia wakati unasubiri kuitwa Usaili jaribu kuwa ma mishe nyingine za kuzugia zugia kama upo chuo uza hata Earphone,protector,phone covers mzee lasivyo kwa hii Awamu UTADATA.dah ngoja nitafute hizi ajira za SAIDIA FUNDI kwenye sites za ujenzi. tu maana amna namna .
Sawa NSHOMILE, alafu huko kwenu kuna Mapori ya yamepandishwa hadhi na kuwa hifadhi vipi yameshaanza kupokea watalii?sisi kwetu kwa akina nshomile huwa tunaandaa ng'ombe mnono na kumpelekea mshika dau kwenye kitengo fulani hata wiki hazifiki utaskia anakupigia simu njoo na vyeti vyako uasini mkataba
THE LONG WAIT , AS THE LONG WAIT FOR PAPUCHI TO BE EATEN .
Radio mbao wanasema mwezi huu mwishon lazma muitwe so jiandae Mzee baba syo unasubiri kwa hamu then ukifika kule na kukutana na jaji mkuu unambwelaWAJUMBE,HAWA WA MAHAKAMA BADO TU? DAH ASEEE MPAKA 2MESAHAU
Kwan huko Dar mvua zmekata ?GUTA LA NN KWENYE KIANGAZI HIKI ?
hamna mvuaa now ni jua kali plus vumbiii tuuu