Vipi wake zetu wangekuwa kama mdada wa tangazo la Tigo?

Extrovert

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
67,033
173,709
Laiti kama wake zetu wangekuwa na ukarimu wa namna ile mambo ya kupenda vipande yasingekuwepo.

"Na ile elfu ninayosevu kila siku ndio nimetumia baabah!"

Mwamba unaacha 10 unakula msosi wa elfu 15! 🤣🤣🤣
Ai wishi i kudu bi Haijipiii!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom