Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wanajamvi:
Inakuwaje hii, kwamba katika kipindi hiki cha pili cha utawala wa JK, jumla ya Wabunge (Watunga Sheria) 14 walikamatwa na kufikishwa mahakamani kwa makosa mbali mbali katika vipindi tofauti. Wabunge hao ni kutoka vyama vitatu tofauti, kikiwamo chama tawala - kama nilivyoorodhesha hapo chini. Orodha inaweza kurekebishwa iwapo nitakuwa nimekosea.
Jamani hii ni rekodi, na inatuambia nini kuhusu utawala huu, na hasa kutokana idadi kubwa ya Wabunge kufikishwa mahakamani katika kipindi hiki cha miezi 11 tu ya utawala wa kipindi cha pili cha JK?
Tujadili.
CDM:
1. Godbless Lema
2. Freeman Mbowe
3. Philemon Ndesamburo
4. Joseph Mbilinyi
5. Sylvester Kasulumbayi
6. Ms Suzan Kiwanga
7. Joseph Roman Selasini
8. Zitto Kabwe
9. Tundu Lissu
10. Ms Esta Matiko
CCM:
11. Dickson Kilufi
12. Hamisi Kigangwala
CUF
13. Ms Elizabeth Sakaya
Inakuwaje hii, kwamba katika kipindi hiki cha pili cha utawala wa JK, jumla ya Wabunge (Watunga Sheria) 14 walikamatwa na kufikishwa mahakamani kwa makosa mbali mbali katika vipindi tofauti. Wabunge hao ni kutoka vyama vitatu tofauti, kikiwamo chama tawala - kama nilivyoorodhesha hapo chini. Orodha inaweza kurekebishwa iwapo nitakuwa nimekosea.
Jamani hii ni rekodi, na inatuambia nini kuhusu utawala huu, na hasa kutokana idadi kubwa ya Wabunge kufikishwa mahakamani katika kipindi hiki cha miezi 11 tu ya utawala wa kipindi cha pili cha JK?
Tujadili.
CDM:
1. Godbless Lema
2. Freeman Mbowe
3. Philemon Ndesamburo
4. Joseph Mbilinyi
5. Sylvester Kasulumbayi
6. Ms Suzan Kiwanga
7. Joseph Roman Selasini
8. Zitto Kabwe
9. Tundu Lissu
10. Ms Esta Matiko
CCM:
11. Dickson Kilufi
12. Hamisi Kigangwala
CUF
13. Ms Elizabeth Sakaya