Vipi Unatongoza

Sasa nauliza na wewe unauliza huoni kama majwabu yanaweza kugongana ,mi nimetoka huko kwa vishindo unakuja wewe unaniharibia mudi,sijawahi hata moja ,ndio nikaomba msaada wa maneno ya kuanzia ,ila nimeokoteza na moja tayari nimeanza kulifanyia mazoezi ,ile kumkazia macho demu ,na hapo imeelezwa kwamba nisibabaike kutazama pembeni ,nimtolee mijicho kikwelikweli mpaka yeye awe wa mwanzo kutazama pembeni.Ila bado naona haya pengine nikimuuliza kipolepole yeye akajibu kwa sauti kubwa na ikawa ni fezeha ,maana hadi leo naona wanawake hawaaminiki anaweza akakupa neno mbele za watu ikabidi kubadilisha njia.

...ha ha haaa haa...usijeitiwa mwizi tu kaka, ha haa
 
Uwe na confidence kivipi wakati vipimo vyote vinaonyesha unaweza ukachezea msonyo wa nguvu utafikiri kaona shetwani. Msichana unamuuliza hali anruka kwa sauti unikome mwanawamwenzio ,kuna wengine washaenda kunisemea kwao na kufika hadi nyumbani kwa vishindo eti nawadoea. Muda ka miezi mitatu mtaani wakawa wananiita doezi ,yaani ilikuwa noma ile mbaya ,hivyo ndio nimeingia na kuja hapa kutafuta elimu ,wewe unaniambia uwe na confidence ,hiyo confidence ndio ninayoizinga.

Sasa mkuu wewe msonyo au kusemewa nyumbani ndio kunakukimbiza? Kumbuka dada zetu wanapenda mwanaume anayejiamini, akikusonya ama kukusemea wewe endeleza libeneke kama hakuna kitu kilichotokea lakini usiwe
i. king'ang'anizi kama ruba
ii.usiwe desperate

Ila akikupigia kelele za mwizi huyo hakufai na si mstaarabu lol.
 
wapo vijana wazuri, mtafute mzee wa durban atakupa trick za kuwanasa hao viumbe, inahitaji uwe na mazoezi ya kutosha
 
Mtaani na kazini simple (itakuchukua kama mwezi mmoja hivi kama hakuna chemistry)
*Jitambulishe ili mfahamiane
*Hakikisha mnaonana mara nyingi (unajidai accidendally kumbe ni mbinu zako)
*Msemeshe kila mkionana na uwe unamsifia
*Usichukulie mambo serious sana, inabidi ufanye jitihada kuwe kama na "kautani flani" kati yako na yeye
*Kisha "unamtania" (unajidai utani, kumbe moyoni uko serious) unataka kumpeleka lunch, outing ama kitu kama hicho
*Hapo mtakuwa kwenye kubadilishana namba za simu
*Mpige message mara kwa mara, kama anajibu (angalia usitume message nyingi kama hajibu)
*mpige vizawadi vya mara kwa mara - hata chewing gum au pipi! (Kutongoza sometimes inabidi ujifanye Mseng.e ili ufanikiwe). lol
*Akikubali outing, una-introduce issue kuwa ulishakufa kwake bado kuoza tu
*Endelea kuwa karibu naye na kumshawishi.
*Outing ya pili mpitie kwako kabla hujamrudisha home kwake, jidai kuna kitu muhimu lazima u-drop au ufanye; akiingia ndani - usifanye kosa, mademu bongo sitaki nataka na first time inaweza ikawa hivyo, akigoma sana unaacha, hatari ni kwamba kama hajawa impressed na unapoishi na ukamkosakosa ndio imetoka, kwa hiyo juu yako hapo.
*Etimated time kwa mambo yote haya, 1 month.
*NB: Demu yeyote anachukulika (awe maskini, tajiri, mrembo, msomi, whatever), ni ku-persist tu mpaka a-give in.

Kwenye party - ni kujitambulisha, kupiga stori kidogo na kujitahidi upate namba ya simu utaendelea baada ya hapo; otherwise demu awe mapepe na wewe ujidai pedejee.

Club kabisaaa, ndio hakuna kingine zaidi ya hela yako ya vinywaji na kuonyesha upedejee!

Nadhani umepata mwanga kidogo ... lol

Mazee old school chivarly naona, siku hizi vijana wana "hook up".

Ushairi kidogo, the moon the stars and the planet rise and shine in your eyes, you are prettier than Paula Abdul and Vanessa Williams in their prime, kwenye giza la mgawo wa umeme ninachohitaji ni smile yako tu napata mwanga wote ninaohitaji, amara outing kidogo mara closeness the rest is maji kufuata mkondo.

Ila uwe tayari kwa kibuti vile vile.

Upedejee mwingi unaweza kusomesha ukoo wa demu halafu ukaambiwa "hatukuwa na mkataba" lol :)
 
Sasa nauliza na wewe unauliza huoni kama majwabu yanaweza kugongana ,mi nimetoka huko kwa vishindo unakuja wewe unaniharibia mudi,sijawahi hata moja ,ndio nikaomba msaada wa maneno ya kuanzia ,ila nimeokoteza na moja tayari nimeanza kulifanyia mazoezi ,ile kumkazia macho demu ,na hapo imeelezwa kwamba nisibabaike kutazama pembeni ,nimtolee mijicho kikwelikweli mpaka yeye awe wa mwanzo kutazama pembeni.Ila bado naona haya pengine nikimuuliza kipolepole yeye akajibu kwa sauti kubwa na ikawa ni fezeha ,maana hadi leo naona wanawake hawaaminiki anaweza akakupa neno mbele za watu ikabidi kubadilisha njia.
tatizo lako unaoenekana unapiga sana masterbation...imafanya unakuwa muoga kwa mashori.....

wewe tafuta pesa watakuja wenyewe hizo mbinu unazopewa sijui mpelekee ua jekundu,mtoe out utakuwa unakula za mbavu kila siku....

Ila akikupigia kelele za mwizi huyo hakufai na si mstaarabu lol.

kuna shori mboga saba nilimu aprochi kiutaratibu kwa mapozi kibao na mkoko wa kuazima....lol akasema kwa sauti kubwa "huyu kaka vipi" pale pale nikaona wacha iwe mbaya tu maana aliua sana.....nikajibu faster.."kama umejamba nisikuambie"?
....aliona noma na hivi alikuwa sista du.....
 
tatizo lako unaoenekana unapiga sana masterbation...imafanya unakuwa muoga kwa mashori.......

Apige nini? Hana hela huyu. Hicho kimshahara cha kufanya kazi internet cafe hakitoshi hata kununulia Revola....... Sanasana akiwa beach na kuona mapaja ya wazungu wakiota juwa "anapata mfadhaiko.... "
 
Duu mkuu inabidi kuweka uwongo unaofanana na ukweli na inabidi usimpe chance kabisa ya yeye kuongea wewe tu ndio uwe unaongea mkiwa pamoja ila ukisema kwamba umpe chance duu utakuwa na mtihani mgumu kidogo....Wewe mwaga pumba zako mpaka yeye mwenyewe akukubali.....
 
Mtaani na kazini simple (itakuchukua kama mwezi mmoja hivi kama hakuna chemistry)
*Jitambulishe ili mfahamiane
*Hakikisha mnaonana mara nyingi (unajidai accidendally kumbe ni mbinu zako)
*Msemeshe kila mkionana na uwe unamsifia
*Usichukulie mambo serious sana, inabidi ufanye jitihada kuwe kama na "kautani flani" kati yako na yeye
*Kisha "unamtania" (unajidai utani, kumbe moyoni uko serious) unataka kumpeleka lunch, outing ama kitu kama hicho
*Hapo mtakuwa kwenye kubadilishana namba za simu
*Mpige message mara kwa mara, kama anajibu (angalia usitume message nyingi kama hajibu)
*mpige vizawadi vya mara kwa mara - hata chewing gum au pipi! (Kutongoza sometimes inabidi ujifanye Mseng.e ili ufanikiwe). lol
*Akikubali outing, una-introduce issue kuwa ulishakufa kwake bado kuoza tu
*Endelea kuwa karibu naye na kumshawishi.
*Outing ya pili mpitie kwako kabla hujamrudisha home kwake, jidai kuna kitu muhimu lazima u-drop au ufanye; akiingia ndani - usifanye kosa, mademu bongo sitaki nataka na first time inaweza ikawa hivyo, akigoma sana unaacha, hatari ni kwamba kama hajawa impressed na unapoishi na ukamkosakosa ndio imetoka, kwa hiyo juu yako hapo.
*Etimated time kwa mambo yote haya, 1 month.
*NB: Demu yeyote anachukulika (awe maskini, tajiri, mrembo, msomi, whatever), ni ku-persist tu mpaka a-give in.

Kwenye party - ni kujitambulisha, kupiga stori kidogo na kujitahidi upate namba ya simu utaendelea baada ya hapo; otherwise demu awe mapepe na wewe ujidai pedejee.

Club kabisaaa, ndio hakuna kingine zaidi ya hela yako ya vinywaji na kuonyesha upedejee!

Nadhani umepata mwanga kidogo ... lol


Hapo tu nimekubali sio mchezo naona kweli mambo unayaweza na jamaa nadhani atafanikiwa kwa mawazo yako haya mazuri na najuwa haya uliyompa akifanya basi ataleta majibu hapa jamvini!!
 
One month huko si kutongoza ni kutaka kuoa kabisa , Yaani inahitajika kama kuna mistari inatumika ,sasa kuna watu hapa wanasema siku hizi mistari haifai , ikiwa una feza tu inatosha ,jamani fedha nayo imeshindwa kununua mapenzi , maana ukiwa na fedha utaangukia kwa machangu doa ambao wao wanaganga njaa kwa kuuza miili yao ,lengo langu halipo kwao ,nipo na wale wa geti kali mbwa mlangoni .mlinzi na gobore na wenyewe wanakuwa educated hivyo wanakuwa na ka akili flani kuwa mapenzi ni jambo baya kwa wakati huu ,yaani wale waliokuwa educated vipi unaweza kuwatia kapuni.
 
Naomba kuwauliza eti vipi unamtongoza mwanamke ? Kuna mbinu zozote au ustadi wa kuweza kuwin msichana mzuri mtaani au kazini ? Au kwenye diskoparty ila sio kwenye baa ingawa naweza pia kuelezewa ka kunahitajika kaufundi ?
Kuwa MKARIMU, usiwe na haraka, huo waweza kuwa ni mradi wa muda mrefu kidogo,wakati mwingine hata miezi sita au zaidi, kama Mtoto ni wa nguvu.

Usijisogeze kwake mara kwa mara bila sababu za msingi.

Jifanye kumwona kama vile ni mtu wa kawaida.

Kwa kufanya hivyo, ataanza kunote kitu tofauti kwako kwa kujiuliza mbona wewe uko tofauti na wengine kwa maana ya kutobabaika naye.

Mzee hapo njiwa lazima ataanza kujisogeza kwenye mtego.

Ataanza kula punje za pembeni, mara huyo ndani ya TENGA.

Sheikh weye wavuta kamba tu.......

NJIWA NDANI YA TENGA.
 
Ikiwa ni miezi bora basi ,duh kuna mmoja alisema mwezi au miezi mitatu wewe unasema sita,inaonyesha itakuwa mwenye kusubiri kudondokewa na si mwenye kujua kutongoza ,aisee kumbe mambu ni makubwa namna hii ,miezi sita ,pengine hata wazee wake itabidi niwajue.
 
miezi sita labda demu wa kuoa lakini hawa wa kwetu,mingi sana,sanasana anaweza kukuona ****,watu wanafanya for one day ikizidi sana a week
 
Mh nakumbuka niliwahi kuandikiwa barua ya kutakwa uchumba yaani kaka alitumia kila aina ya rangi kwa ustadi mkubwa. Na hapo tulikuwa Chuo kikuu duh watu tumetoka mbali.
 
Duh, kwa mtaji huu wenye wake zetu wanao 'interact maofisini, vyuoni nk. tutasalimika kweli? Au tutumie arts gani ili wake zetu wawe hawalainiki kirahisi mbele ya chatu?
 
...ukishasema, "...nataka kukuoa!" ushamaliza maneno yote,... na kama haamini, within 3-days mvishe pete ('Probation'-Tag)
 
...ukishasema, "...nataka kukuoa!" ushamaliza maneno yote,... na kama haamini, within 3-days mvishe pete ('Probation'-Tag)
ndio gia yenu hiyo siku hizi, unamvalisha pete halafu baadaye unamtosa.
 
Ikiwa ni miezi bora basi ,duh kuna mmoja alisema mwezi au miezi mitatu wewe unasema sita,inaonyesha itakuwa mwenye kusubiri kudondokewa na si mwenye kujua kutongoza ,aisee kumbe mambu ni makubwa namna hii ,miezi sita ,pengine hata wazee wake itabidi niwajue.
Kama ni MUOAJI.Hizo ni zetu wazee wa zamani.
 
...ukishasema, "...nataka kukuoa!" ushamaliza maneno yote,... na kama haamini, within 3-days mvishe pete ('Probation'-Tag)

Haha babu wewe utakuwa player si bure! Una mshindilia na msumari wa ndoa na unanunua pete ya cubic zirconia.
Inanikumbusha miaka michache nilienda Zenji rafiki yangu kule akaniambia wanadada wa kizenji ukiwatongoza hivi hivi lazima wakutose ila wewe mwambie unataka kumuoa. Mwiba kutongoza miezi sita au mwaka poa tuu lakini kuwa na back up plan.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom