Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
tehe tehe tehe mbinu zangu nikiziweka hapa nitaongeza ushindani wa kupata totozi mtaani...
Unaogopa wakazi wa kule? hahahaha kuna mmoja ni wa maslahi ya taifa aka sauti....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tehe tehe tehe mbinu zangu nikiziweka hapa nitaongeza ushindani wa kupata totozi mtaani...
tehe tehe tehe mbinu zangu nikiziweka hapa nitaongeza ushindani wa kupata totozi mtaani...
tehe tehe tehe mbinu zangu nikiziweka hapa nitaongeza ushindani wa kupata totozi mtaani...
Mh! hii kazi sasa, kwa utamaduni wa kwetu kweli msichana akitongoza mwanaume anaonekana kama hajatulia. Lkn kwa nchi za USA na ulaya hili ni la kawaida binti kutongoza mwanaume.Lakini msisahau siku hizi kuna akina dada ambao nao hawako nyuma katika mambo haya nao hutongoza pia, lakini wanaume wengi wakitongozwa huogopa na kuanza kujiuliza maswali mengi ambayo hawapati majibu kama vile, "huyu kishatongoza wangapi" na mengineyo na wengi huishia kuingia mitini kwa woga uliowajaa
Mh! hii kazi sasa, kwa utamaduni wa kwetu kweli msichana akitongoza mwanaume anaonekana kama hajatulia. Lkn kwa nchi za USA na ulaya hili ni la kawaida binti kutongoza mwanaume.
Mh! hii kazi sasa, kwa utamaduni wa kwetu kweli msichana akitongoza mwanaume anaonekana kama hajatulia. Lkn kwa nchi za USA na ulaya hili ni la kawaida binti kutongoza mwanaume.
Wapo wengi tu siku hizi, kwanini aumie roho naye kapewa uwezo wa kuzungumza na kueleza shida yake ili aeleweke!? lakini njemba bado hazijaikubali hali hii
Mh! hii kazi sasa, kwa utamaduni wa kwetu kweli msichana akitongoza mwanaume anaonekana kama hajatulia. Lkn kwa nchi za USA na ulaya hili ni la kawaida binti kutongoza mwanaume.
Bongonian chicks siku hizi wakikumind wanakufuata na kuanzisha small talk na ukiwa reluctant anakuuliza unataka nifanye nini uamini(from person experience). Ila ni poa sana demu akianza kukutongoza anakua amekupunguzia kazi kubwa sana, maana kuna akina dada wengin hmmm ukimsalimia tuu kosa anakunja uso kama amekula limao.
Kutongoza hakuna formula, unatakiwa uwe na confidence na smile vingine go with the flow.
...mmmh, Pretty, i think you need to update your Kiswahili.... "seko" na "kujiona keki" hiki Kiswahili cha mid 80's Cha-Urembo!!
Meeting and getting to know women can be a tricky thing for men. Knowing what they're not looking for can keep you ahead of the game. Women want a masculine man, not to be confused with a cocky jerk. In this article I will try to shed some light on this confusing subject.
Why do some guys seem to have all the luck and others struggle to gain an inch. It's all about your approach and knowing what women want (or don't want). Women need to sense a man with some sort of passion. Passions are a great thing to talk about. Think about it, how confident do you feel when you're talking about something you truly care about. Women can sense that energy and feed off of it. Try it next time your with a female. I bet it goes over much better than any of the small talk you are used to.
Many men try the nice guy approach with women. This personality is adopted when you hope to prove how good you could be for a woman. This is not what women want. Other guys try the opposite end of the spectrum (being a jerk). This is not what women want either. Women want to see you shine forth your best qualities. Establish in a womans mind that you're dominant, powerful, and secure in your values and she will respect that. You will come of as genuine and not fake.
Women want a man with a strong character and passion! There is some great information out there on attracting the perfect mate. These are a few pointers that should help you get started. Be that man you envy with all the hot women by knowing what they don't want.
kuna vitu wanaume inabidi mjue. Sio kujiongelea tu....yataje basi ...
-make eye contact ( hii itamfanya binti aone upo confident man)
-slight smile, angalau basi uweke tabasamu angalau uonekane upo serious na unampenda kweli.
-Positive body language ( don't be nervous)
-muulize maswali maswali ( what u don't know yet) like anapenda nn, hapendi nn, anapenda mume wa namna gani.
hizi ni baadhi ya mbinu lkn zipo nyingi tu. ILa usijaribu kuweka uongo. manake wanaume kwa kuongopa hamjambo.
Sasa nauliza na wewe unauliza huoni kama majwabu yanaweza kugongana ,mi nimetoka huko kwa vishindo unakuja wewe unaniharibia mudi,sijawahi hata moja ,ndio nikaomba msaada wa maneno ya kuanzia ,ila nimeokoteza na moja tayari nimeanza kulifanyia mazoezi ,ile kumkazia macho demu ,na hapo imeelezwa kwamba nisibabaike kutazama pembeni ,nimtolee mijicho kikwelikweli mpaka yeye awe wa mwanzo kutazama pembeni.Ila bado naona haya pengine nikimuuliza kipolepole yeye akajibu kwa sauti kubwa na ikawa ni fezeha ,maana hadi leo naona wanawake hawaaminiki anaweza akakupa neno mbele za watu ikabidi kubadilisha njia.Kwani wewe hujawahi kutongozwa?
Good guys finish last with their sets of rules, wewe Mwiba be yourself around her ila uwe na confidence.