Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Nimeuliza kwasababu nilifanya applications na mpaka sasa sijaona taarifa zozote kuhusu selectiona zao. Kama kuna mwenye taarifa za lini yanaweza toka,kwasababu muda wa kwenda chuo najua unaanzaga july.