Vipi ofisi ya makamu wa Rais imehamishiwa kwenye mbuga za wanyama serengeti?

hivi wakitokea simba watatu tu hapo kuna atakayekumbuka hata bunduki? Na hapo utakuja bilali kavibeba vizee kibao vya zanzibar ata the expenses of kodi za wananchi.
 
umri wake na wake watatu ana wamudu kweli?



Ndiyo. Anawamudu. Kwanza huyo Mzee wetu anahitaji aongeze mke wa nne kwa mjibu wa sharia za kiislamu. Ni vizuri make ataongeza wigo wa huduma na hivyo kuwa mwepesi katika utatuzi wa migogoro ya nchi yetu. Na akitoka huko kwenye utalii atakuja na mbinu mpya za kusaidia kuokoa CCM na mikanganyiko ya maamuzi ndani ya Chama.
 
Nayo hii nakili kutoka kwako ni scheme of service???
Hayo ya sheria nafikiri sheria inapotajwa hutajwa iko katika kifungu fulani ana inasema namna gani. Huu mtindo wa matakwa na hisia za watu kulitolea ufafanuzi jambo halina nafasi hapa!!
Mkuu mi nadhani mada kama hizi zaweza kua na maudhui mengi japo kunaweza kutokea jokes kwenye discusion na mambo mengine...
Katiba inatamka wazi kua raia wa tanzania hatobaguliwa kwa dini, rangi, jinsia, kabila wala sehemu atokayo....lakini ukiangalia kuna mambo yanapingana maana dini ya kiislamu inaruhusu kua na mke zaidi ya mmoja lakini serikalini wanamtambua mke mmoja tu!! Je hapa hakuna mapungufu? Kama kiongozi yuko happy na anaweza kutekeleza majukumu yake akiwa na wake watatu au wanne...JE KWA NINI SERIKALI HUA HAIWATAMBUI??
Kumbuka hata kama unapewa likizo serikalini au uhamisho watoto na mke atakayegaramiwa ni yule wa ndoa na aliyesajiliwa serikalini tu.
 
Jamani wana JF na wana jukwaa la siasa naomba kuuliza.
Je ofisi ya makamu wa rais imehamishiwa kwenye mbuga za wanyama siku hizi??...Maana tangu mwezi wa 12 mwaka jana vyombo vya habari vinaripoti yupo ziarani kwenye mbuga za wanyama na wakeze wawili!!
Je hii ndo ilikua sababu ya kugombea umakamu wa raisi? Miaka yote alikua kwenye uongozi hakupata fursa za kutembelea mbuga?? Mzee tunakuhitaji ofisini utatue matatizo ya nchi...loh!!!!
View attachment 20030View attachment 20031

nitamuombamods wakuban kwa hata 24 hrs. Nyinyi nynyi ndio mnadiscourage domestic tourism
 
Ivuga,

..lakini Makamu wa Raisi kaandikwa kibarua miezi miwili iliyopita. sasa tayari anachukua likizo kwenda kuangalia wanyama?

..hivi kwa walalahoi huchukua muda gani mpaka accumulate siku za likizo?

..ONLY IN TANZANIA. ingekuwa nchi zilizoendelea kiongozi wa umma hawezi kufanya mambo ya kitoto hivyo.
 
Ivuga,

..lakini Makamu wa Raisi kaandikwa kibarua miezi miwili iliyopita. sasa tayari anachukua likizo kwenda kuangalia wanyama?

..hivi kwa walalahoi huchukua muda gani mpaka accumulate siku za likizo?

..ONLY IN TANZANIA. ingekuwa nchi zilizoendelea kiongozi wa umma hawezi kufanya mambo ya kitoto hivyo.

unakosea sana mkuu, sasa nchi zilizoendelea ndio wanapenda sana kupumzika kuliko hata unavyofikiria wewe, kwani likizo za mwaka mpya obama naye si alienda kupumzika, nisingekuwa viamobile ningekutundikia na picha hapa, na wananchi wake hawawezi kulalamika, sasa huyu ni mafano wa kuigwa kama alilipia gharama za kwenda huko mbugani yeye na familia yake.na watu wote inabidi tumuige.hii kitu inaongeza hata life expectance jamani
 
Ivuga said:
unakosea sana mkuu, sasa nchi zilizoendelea ndio wanapenda sana kupumzika kuliko hata unavyofikiria wewe, kwani likizo za mwaka mpya obama naye si alienda kupumzika, nisingekuwa viamobile ningekutundikia na picha hapa, na wananchi wake hawawezi kulalamika, sasa huyu ni mafano wa kuigwa kama alilipia gharama za kwenda huko mbugani yeye na familia yake.na watu wote inabidi tumuige.hii kitu inaongeza hata life expectance jamani

Ivuga,

..siyo kweli kwamba wenzetu ktk nchi zilizoendelea wana tabia ya kuchukua LIKIZO baada ya miezi miwili kibaruani.

..katika taasisi zinazoeleweka na kuheshimika wana kipindi cha PROBATION ambapo muajiri hukuangalia na kukupima ndani ya miezi mitatu kabla hajaamua kukuandika kazi moja kwa moja.

..nakuhakikishia kwamba huwezi kuondoka kazini wakati uko kwenye PROBATION[less than 90 days on the job], unless u have some very serious family emergency.

..kuhusu Obama, inaeleweka kwamba kuna vipindi fulani fulani huwa wana sikukukuu za kitaifa ambazo hujumuisha long weekends[fri to mon] ambapo ofisi za serikali hazifanyi kazi. sasa ktk mazingira hayo ndiyo unaweza ukakuta Obama anachepuka kwenda kupumzika 2 or 3 days. pia Obama huwa ana annual summer vacation ambapo hupenda kujinafasi maeneo ya Martha Vineyard au Hawaii.

..wakati nakubaliana na wewe kuhusu ku-promote utalii wa ndani etc etc, naendelea kusisitiza kwamba haijakaa vizuri kwa makamu wa Raisi kwenda kuponda raha Serengeti kwa gharama za walipa kodi muda mfupi baada ya kuapishwa ktk nafasi hiyo.
 
Utalii wa ndani.
Si unajua tena Zenji hakuna mbuga!!
Akimaliza Dr. zamu ya Shamsi Vuai inafuatia.

Mkuu Ndiba, Zanzibar zipo mbuga.
Umesahau zile shehena zilizokamatwa mashariki ya mbali mwaka jana zikiwa na meno ya tembo na ngozi za chui vyote vikitokea Zanzibar? Siyo rais wa Zanzibar wala nani aliyepinga Zanzibar hawana mbuga. :smile-big::A S confused::A S confused:
 
Back
Top Bottom