mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Alinizani bandia,ndani ya maisha yake
Wala sikufikiria ,kma ntarudi kwake
Sitorudi abadani,sitorudi abadan
ni kheri niazirike
Lakini leo karudi,kama jambo halikua
Na macho yake shahidi,kaja kuniangukia
Kajaniomba nirudi mapenzi kuyarudia aaaa
Kaja omba samahani,vipi nimkatalie
Vipi nimkataliee?
Vikuba vya asumini,kaniletea tamasha
Mapenzi ya utotoni,leo kaja yakumbusha
Yanamwenda midomoni,kwa furaha na bashashaa
Kaja omba samahani,vipi nimkatalie.
Vipi nimkatalie?
Sikoai kunahibika,niko mwake mikononi
Uso nimeuvubika,fudi fudi kifuani
Kama mwana amefika,kwa mama mwenye imaniii
Kaja omba smahani,vipi nimkatalie
Vipi nimkatalie?
$ U r My Number 1 $
Wala sikufikiria ,kma ntarudi kwake
Sitorudi abadani,sitorudi abadan
ni kheri niazirike
Lakini leo karudi,kama jambo halikua
Na macho yake shahidi,kaja kuniangukia
Kajaniomba nirudi mapenzi kuyarudia aaaa
Kaja omba samahani,vipi nimkatalie
Vipi nimkataliee?
Vikuba vya asumini,kaniletea tamasha
Mapenzi ya utotoni,leo kaja yakumbusha
Yanamwenda midomoni,kwa furaha na bashashaa
Kaja omba samahani,vipi nimkatalie.
Vipi nimkatalie?
Sikoai kunahibika,niko mwake mikononi
Uso nimeuvubika,fudi fudi kifuani
Kama mwana amefika,kwa mama mwenye imaniii
Kaja omba smahani,vipi nimkatalie
Vipi nimkatalie?
$ U r My Number 1 $