Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Sasa unakataa na kukubali wewe mwenyewe! mimi na wewe huyo Qathem(Muhammad) nani uelewa mdogo?Hakuna katika Qur'an haya umeandika hapa.Itakuwa uwelewa wako mdogo
1.Hakuna sehemu Qur'an imesema mbingu zimepangana kama maghorofa
2.Hakuna sehemu Qur'an imesema jua linazama kwenye tope,kilichoandikwa ni huyo aliyetajwa katika Qur'an ,NDIO ALIONA JUA LINAZAMA kwenye tope,hii ni sayansi tosha,yakuonyesha kama uoni wa binadamu una masafa yake ya kuona.Hata ukiwa baharini,jua likizama utaona linazama baharini,kwa upeo wa uoni wa kibinadamu.
Hakuna katika Qur'an haya umeandika hapa.Itakuwa uwelewa wako mdogo
1.Hakuna sehemu Qur
je, sayansi inasema jua linazunguka/tembea na kwenda kuzama matopeni kukubaliana na qurani yako??