William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #21
Good thread, Lwakatare got sucker punches.... inanikumbusha ile ya mama kilango (chanjila)
- Sawa sawa mkuu umeeleweka!
Es!
Good thread, Lwakatare got sucker punches.... inanikumbusha ile ya mama kilango (chanjila)
Alikimbia kwenda wapi? umeuliza maswali na majibu umepewa sasa unalaumu hakufanya utafiti wa kutosha........je wewe utafiti wako uko wapi? N akama upo bsi uliuliza maswali ya nini? yaelekea unayo majibu kibindoni na unatusanifu hapa..............
kama Masha,marimo,dialo,Mbatia,Batilda?Baada ya kushndwa yuko dom anapeperusha bendera ya CHADEMA kwenye gari yake huku akishuhudia Kagasheki akiapishwa.
- Mkuu ukimsogelea jamaa muulize vipi kule jimboni vipi mbona kakimbia kabla ya matokeo kutangazwa? Au alichukua mpango na kukiuza chama na wananchi waliompigia kura?
- Njaa bwana kweli inaua hata mchawi! Bwa! ha! ha!
Es!
- Wakuu heshima mbele sana, naomba kuuliza vipi mgombea wa Chadema kule Bukoba, ambaye pia huko nyuma aliwahi kuwa mbunge, na pia aligombea tena mwaka huu kupitia Chadema Ndg. Rwakatare, mbona hakuna tena habari zake na huu uchaguzi?
FMEs!
Kweli kuna wazushi duniani.nadhani aliyeanzisha mada ya lwakatare kukimbia kabla ya matoke ni profesa wa uongo.nilikuwa naye usiku mzima ktk hotel ya fiosmini mali ya mdogo wake kwani ndipo tulikuwa tunaratibu matokeo.siku mbili baadaye aliitisha mkutano kushukuru kamati na madiwani waliochaguliwa wa chadema hoteli hapohapo,siku mbili baadaye akaitisha mkutano wa hadhara bkb sokoni ili kushukuru wananchi na kuaga,alikuwa bmakwenda dar kwa shughuli za kichama.mkutano ambao polisi waliuzuia dakika za mwisho hali walishatoa kibali hadi ikabidi polisi walipe chadema gharama zote walizotumia.so anayesema lwakatare aliondoka kabla ni mbumbumbu wa jambo hilo au anapotosha kusudi