Vipi matumizi ya solar power na makato ya kodi ya nyumba?

Mtanzatozo

JF-Expert Member
Mar 2, 2016
972
1,163
Vipi matumizi ya solar power na makato ya kodi ya nyumba? Serikali naona imeamua kufanya jambo lenye faida huku likiwa na uonevu uliokithiri!

Hivi inakuaje kwa mmiliki mwenye vijumba vidogo mfano vitatu kwenye hati moja ya nyumba! Ambayo alirahisisha kwa ku-request meter luku zaidi ya moja? Je, hili mliliona au ndo kila luku mnalamba! P

Acha nitambe na solar yangu msinifuate kudai makodi yenu ya nyumba
 
Mimi nimeshanunua mitambo miwili ya solar! Watt 100, na watt 200! Muda si mrefu naipandisha juu ya bati. Unit 27, nitakuwa natumia mwezi mzima kwa ajili tu ya pasi, tv na friji!!

Hakuna namna. Itatulazimu kupunguza matumizi, ili kujiepusha na tozo ziso na ulazima.
 
Mimi nimeshanunua mitambo miwili ya solar! Watt 100, na watt 200! Muda si mrefu naipandisha juu ya bati. Unit 27, nitakuwa natumia mwezi mzima kwa ajili tu ya pasi, tv na friji!!

Hakuna namna. Itatulazimu kupunguza matumizi, ili kujiepusha na tozo ziso na ulazima.
Si unawasha bulbu mbili tu.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Si unawasha bulbu mbili tu.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Watt 10 inawasha bulb 10 zenye mwanga mkali kabisa! Unaangalia tv, unasikiliza sub wofer, unachaji simu! Muhimu ufunge pia battery ya N 100!

Hiyo ya watt 200, ndiyo bado sipata mwongozo wake. Ila itakuwa ina nguvu mara mbili ya hiyo ya watt 100! Tupo tu kumchallenge Dr. Mwigulu Nchemba na Tozo zake zisizo eleweka.
 
Watt 10 inawasha bulb 10 zenye mwanga mkali kabisa! Unaangalia tv, unasikiliza sub wofer, unachaji simu! Muhimu ufunge pia battery ya N 100!

Hiyo ya watt 200, ndiyo bado sipata mwongozo wake. Ila itakuwa ina nguvu mara mbili ya hiyo ya watt 100! Tupo tu kumchallenge Dr. Mwigulu Nchemba na Tozo zake zisizo eleweka.
bei yake ni sh ngap mkuu
 
Haitakuwa rahisi hivyo. Kwamba ikifika 12,000/= wanaacha kukukata? Hauijui serikali inayotafuta pesa kwa nguvu. Labda uwe unanunua umeme mara 12 tu mwaka. Wengine tunanunua hata 50 kwa mwaka.

Watu wana maswali ya msingi. Je itakuwaje kwa watu ambao wana nyumba moja yenye mita zaidi ya moja?
Kama nitakatwa buku kwa mwezi kwa mwaka Ni Tsh 12,000/=TU kwangu ni Bora kuliko kulipa Elfu 30 kwa mwaka bado na makorokoro meeeengi
 
Haitakuwa rahisi hivyo. Kwamba ikifika 12,000/= wanaacha kukukata? Hauijui serikali inayotafuta pesa kwa nguvu. Labda uwe unanunua umeme mara 12 tu mwaka. Wengine tunanunua hata 50 kwa mwaka.

Watu wana maswali ya msingi. Je itakuwaje kwa watu ambao wana nyumba moja yenye mita zaidi ya moja?
Mkuu kuanzia sasa naanza kuwa mbahilii rasmi nitanunua Mara 1 TU kwa miezi 2 . Nitapika kwa umeme Mara 2 kwa wiki.nadhibiti matumizi ya friza maana ndilo makubwa sana
 
Mkuu kuanzia sasa naanza kuwa mbahilii rasmi nitanunua Mara 1 TU kwa miezi 2 . Nitapika kwa umeme Mara 2 kwa wiki.nadhibiti matumizi ya friza maana ndilo makubwa sana
Unadhania wao ni wajinga kiasi hicho, hata ukae miezi sita hujanunua, siku ukinunua wanakata deni lote la miezi ambayo hukununua!!ni kama ile service charge ilivyokuwa!!kwa mwaka lazima ukatwe , 12, 000 kama ni nyumba ya kawaida!!
 
Vipi matumizi ya solar power na makato ya kodi ya nyumba? Serikali naona imeamua kufanya jambo lenye faida huku likiwa na uonevu uliokithiri!

Hivi inakuaje kwa mmiliki mwenye vijumba vidogo mfano vitatu kwenye hati moja ya nyumba! Ambayo alirahisisha kwa ku-request meter luku zaidi ya moja? Je, hili mliliona au ndo kila luku mnalamba! P

Acha nitambe na solar yangu msinifuate kudai makodi yenu ya nyumba
Hata nyumba iwe haina umeme, kodi ya majengo utalipia tu kwa utaratibu ule wa zamani, wa karatasi za ankra kupitia serikali za mitaa!!, kama una mita zaidi ya moja kwenye kiwanja kimoja , unatakiwa uende tanesco, uwaambie ni mita ipi ndio itakayokuwa inakatwa kodi hiyo.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom